chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,694
- 4,954
Acha upumba.vu dogo Udom inaingiaje hapa? Kaanzishe thread ya kuijadili udom sio kujitia kujua kwinhi apa...
Dr Slaa.,Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ameonyesha dharau kubwa na kukosa kwake imani kwa Chuo Kikuu cha Dar es salaam maarufu kama UDSM juu ya kiwango cha Elimu kinachotolewa chuoni hapo. Kadhia hiyo imetokea pale Dr Slaa alipokuwa anajibu Post ya Mwigulu Madelu Nchemba Naibu Katibu Mkuu wa CCM ambapo Dr Slaa alisema kuwa kulingana na kauli za Mwigulu anazozitoa ni zao la Elimu aliyoipata chuoni hapo ambapo Mwigulu alipata ufaulu wa first class chuoni hapo...
Je maneno haya ya Dr Slaa yanaukweli wowote kuwa chuo hiko kinatoa mazao yasiyofaa na kwamba anayoyasema na kuyafanya mwigulu yanatokana na Elimu yake aliyoipata Chuoni hapo..???
Lugha yako inakusumbua sana,jaribu kurudia kusoma ulichokiandika kabla hajatuma mchango wako katika jamvi.
Soma vizuri utanielewa tu.
Soma vizuri utanielewa tu.
Dr Slaa.,Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ameonyesha dharau kubwa na kukosa kwake imani kwa Chuo Kikuu cha Dar es salaam maarufu kama UDSM juu ya kiwango cha Elimu kinachotolewa chuoni hapo. Kadhia hiyo imetokea pale Dr Slaa alipokuwa anajibu Post ya Mwigulu Madelu Nchemba Naibu Katibu Mkuu wa CCM ambapo Dr Slaa alisema kuwa kulingana na kauli za Mwigulu anazozitoa ni zao la Elimu aliyoipata chuoni hapo ambapo Mwigulu alipata ufaulu wa first class chuoni hapo...
sina hakika Kama Mwigulu aliwahi kujifunza kitu kinachoitwa logic katika maisha yake. Kuelewa kuwa Kaulinzako zinajikanyaga huhitaji sana kwenda shule kubwa kubwa, unless mnatuambia Chuo Kikuu kilichompa Degree ni hovyo kiasi hicho
Je maneno haya ya Dr Slaa yanaukweli wowote kuwa chuo hiko kinatoa mazao yasiyofaa na kwamba anayoyasema na kuyafanya mwigulu yanatokana na Elimu yake aliyoipata Chuoni hapo..???
Mbona kama una ka wivu vile, walikupiga chini nini?
Duh huyu jamaa kwanini aliasi upadri?
Dr.Slaa hapo amezungumzia neno moja tu muhimu "Logic"ambalo linampita kushoto Mwigulu mpaka mleta mada ameshindwa kung'amua, yeye ameng'ang'ania chuo.
haha....hapo ndipo fikra zako zilipoishia.Kujilinda kwa "accusations na kuplay victim" kila kitu mnakizua kisisemwe kwa kisingizio cha wivu
Hivi bado upo maternity ya uzeeni.
Hawa watu wanadharau kila kitu, mwisho watajidharau wenyewe
Wamedharau jeshi la polisi
Wamedharau Jeshi la wananchi
Wamedharau watendaji wote serikalini, hii ikiwa na maana hata walimu
Na sasa wanadharau vyuo vyetu
Sitaji kujiingiza kwenye marumbano ya Dr.Slaa na Mwigulu Nchemba lakini hoja yako hii inagota palepale kwenye point aliyokuwa anaisema Dr.Slaa kuhusu somo la LOGIC.
Kabla ya kuleta bandiko lako ulitakiwa kwanza ukipambanue ki-logic hicho alichokisema Mwigulu Nchemba na kukiona kama ni ukweli au siyo ukweli.
Kama alichokisema Mwigulu ni kweli basi hoja ya Dr. Slaa inakuwa ni worthless kuijengea hoja, lakini kama siyo kweli, basi ndipo ungekuja na hoja ya maneno ya Dr.Slaa kutaka yachambuliwe na wanaJF.
So far, kwa kuleta hoja inaonekana unakubaliana na hoja ya Dr. Slaa kwa yale aliyoyasema Mwigulu Nchemba na kwa maana hiyo yatakuwa yamechangiwa na elimu aliyoipata pale UDSM.
Sasa sijui unataka tujadili nini wakati kile alichokisema Dr. Slaa unakubaliana nacho.
Kwani hufahamu kuwa Mwigulu aliongeza elimu na maalifa zaidi pale UDSM na kutunukiwa cheti baada ya kufaulu. Huoni kuwa hoja zake anazijenga kutokana na kupata elimu na maalifa zaidi hapo UDSM.