MawazoMatatu
JF-Expert Member
- Sep 6, 2008
- 505
- 63
Kuna tatizo la audio maana kuna mikwaruzo mingi..., sauti ya shujaa inabidi itoke 'loud and clear' hiyo peke yake ni ujumbe tosha kwamba tuna uhakika na tunachohubili (bila kuumauma maneno). Vilevile picha ya Chenge akielekea mahakamani kwenye kesi yake ya makosa ya barabarani sioni kama ni relevant, Yakilekebishwa hayo inaweza kuwa bonge la campaign Ad, great idea..!