Dr. Umar Johnson aihama Dini ya Kiislamu

Dr. Umar Johnson aihama Dini ya Kiislamu

Mfano wwngi tumefika shule tumekutana na english na tumepambana nayo, kuna wengine walijifunza french ili kufata fursa za scholarship za kusoma ufaransa
Hizi Lugha za English na French ni Lugha za mawasiliano hapa hapa ya Mtu na Mtu.

Lakini baina ya wewe na MUNGU aliyekuumba ati utumie Kiarabu?!

Je huyo MUNGU ni Mwarabu?!
 
Kumbe ni vikundi tu?

Wale ambao nchi nzima ni magaidi ambazo sio Waislam, unawaongeleaje?
Lazima uwe gaidi la sivyo ni Fake muslim purely Muslim lazima awe na chuki,muongo,roho ya uuaji, mnafiki.. na mambo yote yanayohusiana na dhambi, Shahada tu ni kuwa shahidi wa Uongo eti hakuna Mungu ila kuna Allah na mudy ndio mtume wa mwisho uongo mtupu.. na vyote hivi vina Aya za Allah ameamrisha waislam wafuate. Ikiwemo kuchukia na kuwaua wayahudi
 
Inapaswa dunia nzima ielewe,ukiachana na hiyo uislamu ndio dini inayoeneza chuki na uadui dhidi ya watu wasio waumini wa dini hiyo,na ndio dini yenye vikundi vingi vya kigaidi na magaidi.
Huna haya, liongo likubwa
 
Naomba nijuwe hiyo dini ya kuabudu minimum yetu iko wapi nikajiunge haraka. Afadhari watu weusi wemeaza kuamuka. Hivi watu weusi hawajiulizi kwanini nchi zilizo kuwa vinara wa biashara ya utumwa ndio vinara wa kueneza dini zao?
African spirituality is centered on a variety of beliefs, including:







  • Spirit world
    The belief that a spirit world exists, and that deceased humans, animals, and objects still exist in that world.






  • Ancestors
    The belief that ancestors maintain a spiritual connection with their living relatives, and that they are generally kind and good.






    • Reincarnation
      The belief in reincarnation, based on the idea that humans live in a cycle.







    • Spiritual power
 
Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; behead them when you catch them – 47.4”
Duh! Haya maneno yapo kwenye Quran!!!
 
Yupo huyo kafiri. Anashinda kwenye jukwaa la kimataifa, anarepoti vita ya Mashariki ya Kati moja kwa moja toka Nungwi na juzi Ayatoula kaita waislam na kaspecify waarabu tu ila hao nyani wa Zanzibar nao wanajiita Waislamu.
Nampenda sana FaizaFixy
 
Usipo sali kiarabu Mungu hasikii ? Wavaa kobazi wana vichwa vidogo sana kuamini aya mambo wana funzana kiarabu wakiamini ndo lugha sahihi
 
Mizimu ya Kiafrica ilishapoteza connection na Black america.
 
Fake muslim purely Muslim lazima awe na chuki,muongo,roho ya uuaji, mnafiki.. na mambo yote yanayohusiana na dhambi, Shahada tu ni kuwa shahidi wa Uongo eti hakuna Mungu ila kuna Allah na mudy ndio mtume wa mwisho uongo mtupu..
Wewe ni kichaa wa akili, jambo usilolijua kaa kimya, kamwe usiliongolee, una shindwa kulezea umma jinsi kiboko ya wachawi na wenzake walicho wafanyia wewe kazi ku utukana uislamu,
mtume MUHAMMAD (s.a.w) aliishi na wasio waislamu, tena ali watendea wema hadi ikawa sababu ya kuingia ktk uislamu,
mtume MUHAMMAD (s.a.w) aliwekewa uchafu mlango kwake daily na asiyekuwa muislamu na yeye kila uki wekwa ana utoa daily , yule muweka uchafu aka umwa , mtume hakumuona akimuekea uchafu basi akashangaa leo mbona hakuna uchafu mlangoni?, akaenda kwa huyo mtu ili ajue kulikoni, kufika aka mkuta yu mgonjwa, aka mjulia hali (kama uta elewa kitendo hicho basi utajua uislamu ni nini), usilopoke kama hayawani
 
Tueleze mkanganyiko huu katika quran UTATA KATIKA QURAN Siku moja ni ya muda gani kwa mujibu wa Mwenyezi Mungu? a. Siku 1 ni sawa na miaka 1000 (22:47) b. Siku 1 ni sawa na miaka 50,000 (70:4) 2. Mwenyezi Mungu alichukua muda gani kuumba ardhi? a. Siku 6 (7:45, 10:3, 11:7, 25:59) b. Siku 8 ( 41:9-12 ) 3. Je, mbinguni ni kongwe au dunia ni ya zamani? Ni ipi iliundwa kwanza? a. Dunia iliumbwa kwanza (2:29, 41:9) b. Mbingu iliumbwa kwanza (79:27-30) 4. Wanadamu waliumbwa kutokana na kitu gani? a. Bonge la damu ( 96:1-2 ) b. Maji (21:30) c. Udongo uliochomwa (15:26) d. Vumbi (3:59) e. Hakuna (19:67) f. Dunia ( 11:61 ) g. Tone la maji mazito ( 16:4, 75:37 ) h. Udongo unaonata (37:11)
Mhhhhhh,kweli mkanganyiko huooo,njooni mjibu hoja
 
Lazima uwe gaidi la sivyo ni Fake muslim purely Muslim lazima awe na chuki,muongo,roho ya uuaji, mnafiki.. na mambo yote yanayohusiana na dhambi, Shahada tu ni kuwa shahidi wa Uongo eti hakuna Mungu ila kuna Allah na mudy ndio mtume wa mwisho uongo mtupu.. na vyote hivi vina Aya za Allah ameamrisha waislam wafuate. Ikiwemo kuchukia na kuwaua wayahudi
Hayo yote unasema wewed, hiyo ndiyo inaitwa "Islamophobia".mNi uga wa ujinga ulijazwa nao kuhusu Uislam na Waislam.

Uislam ni mwema sana na Waislam ni wema sana.

Unajuwa kuwa hata Chat AI kasilimu? Jionee:

 
Hana hoja hapo, sababu ameongea uongo tena kwa ujinga wake.

Kwanza Uislamu ndio dini pekee ambayo imekuja kuondoa ubaguzi, na kuonyesha ya kuwa mbora mbele ya Allah ni mchamungu.

Anasema Allah aliye juu :

13. Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye khabari.
(al-Hujurati : 13)

Hapo hakuna cha uarabu Wala uafrika.

Kingine ama kuhusu lugha, lazima iwe Kiarabu ili kuleta usawa na kuwaleta watu wote pamoja. Sababu Mtume alikuwa muarabu, na aliletwa akiwa katika jamii ya waarabu, ili wamuelewe kwanza ilibidi itumike lugha ya Kiarabu. Ajabu ya Kiarabu Leo hii unakuta muafrika anamfundisha Kiarabu muarabu mwenyewe.

Lakini Uislamu umekuja na msamiati ambao Waarabu walikuwa hawaujui waarabu kabla, bali Sheria na taratibu. Bali Kuna baadhi ya tamaduni ambazo Uislamu ulizichukua kutoka kwa waarabu, sababu ni nzuri na walikuwa wameshastaarabika.

Kadhalika katika Hadithi, Mtume wa Allah, amani ya Allah iwe juu yake anasema :

Abu Huraira reported: The Messenger of Allah, peace and blessings be upon him, said, “Verily, Allah does not look at your appearance or wealth, but rather He looks at your hearts and actions.

Source: Ṣaḥīḥ Muslim 2564

Lakini laiti kama Uislamu ungekuwa ni Uarabu basi waarabu wote wangekuwa Waislamu.

Kingine, lazima utumie lugha ya Kiarabu ili dini ihifadhike na isichafuliwe kutokana na makosa, ndio maana katika sababu zilizopelekea vitabu vingine kuwekewa mikono ya watu ni kuweka lugha zao katika vitabu vyao.

Kwahiyo kwa ufupi tunahitimisha ya kuwa Umar Johnson hakuwahi kuujua Uislamu ajabu akawa anauongelea.
Mkuu hiyo Aya 13 isemayo "Enyi watu sisi tumewaumbeni.." ebu tujuze hao watu wanao tuumba sisi binadamu ni akina nani?
 
Koran 9;30
"Destroy Jews and Christians."
Hiyo yako no "Koran", Soma Qur'an 9:30 ya Kiarabu, Kingereza na Kiswahili:

وَقَالَتِ ٱلْيَهُودُ عُزَيْرٌ ٱبْنُ ٱللَّهِ وَقَالَتِ ٱلنَّصَـٰرَى ٱلْمَسِيحُ ٱبْنُ ٱللَّهِ ۖ ذَٰلِكَ قَوْلُهُم بِأَفْوَٰهِهِمْ ۖ يُضَـٰهِـُٔونَ قَوْلَ ٱلَّذِينَ كَفَرُوا۟ مِن قَبْلُ ۚ قَـٰتَلَهُمُ ٱللَّهُ ۚ أَنَّىٰ يُؤْفَكُونَ ٣٠


The Jews call 'Uzair a son of Allah, and the Christians call Christ the son of Allah. That is a saying from their mouth; (in this) they but imitate what the unbelievers of old used to say. Allah's curse be on them: how they are deluded away from the Truth!
— A. Yusuf Ali
Hakika wamemshirikisha Mwenyezi Mungu Mayahudi walipodai kwamba 'Uzayr ni mwana wa Mwenyezi Mungu. Na wamemshirikisha Mwenyezi Mungu Wanaswara walipodai kwamba Al-Masīh( ni mwana wa Mwenyezi Mungu, Neno hili wamelizua wao wenyewe, na wao kwa hili wanafananisha na neno la washirikina kabla yao. Mwenyezi Mungu Awalaani washirikina wote. Vipi wao wajiepusha na ukweli na kuelekea kwenye urongo?
— Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
 
Back
Top Bottom