Dr. Vedasto Kyaruzi daktari mpigania uhuru wa Tanganyika

Dr. Vedasto Kyaruzi daktari mpigania uhuru wa Tanganyika

Tumesomesha nusu muhula hapahapa na nakala zaidi ya elfu kumi na saba zimeshushwa hapa, pekua hapa jukwaa la historia mkuu, haya nj marudio tu

Umesahau alivyokuja mtoto wa kwanza wa Nyerere akakukana kuwa hujulikani Msasani wala Mwitongo.
 
Bibi kikongwe a.k.a mjane, unataka kuolewa na Askofu? Mimi ni Askofu njoo nikuoe usijekufa na msongo.
Mkuu it doesn't cost you a penny kuheshimu binadamu wenzako, Watanzania ni lini tutajifunza kuwa CIVIL?? Nikiangalia alias name yako najua fika umejifunza tangu ukiwa mdogo maadili mema ya kuheshimu binadamu wenzako, unaweza kuwa unatofautiana nao kimsimamo kwenye maeneo fulani fulani lakini hilo alikupi haki ya ku-resort kwenye NAME CALLING!! CHEERS Kyenju.
 
Lakini kila inapoletwa nyuzi na Mohamed Said au inayomuhusu hambanduki kuvuna ilm.

hapo sasa!
Wala sio kupata "ilm" ila kuzichambua hekaya. Mimi sio muislam wala mkristo lakini nyumbani kwangu hutakosa msahafu na biblia na ninavisoma sana vitabu hivyo.
 
Wala sio kupata "ilm" ila kuzichambua hekaya. Mimi sio muislam wala mkristo lakini nyumbani kwangu hutakosa msahafu na biblia na ninavisoma sana vitabu hivyo.

Ungekuwa hupati ilm kwenye hivyo vitabu usigeviweka urembo. Na ingekuwa hupati ilm kutoka kwa Mohamed Said usingetembelea nyuzi zinazomuhusu.

Ulimjuwa Mshume Kiyate wewe kabla ya kumsoma Mohamed Said?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu it doesn't cost you a penny kuheshimu binadamu wenzako, Watanzania ni lini tutajifunza kuwa CIVIL?? Nikiangalia alias name yako najua fika umejifunza tangu ukiwa mdogo maadili mema ya kuheshimu binadamu wenzako, unaweza kuwa unatofautiana nao kimsimamo kwenye maeneo fulani fulani lakini hilo alikupi haki ya ku-resort kwenye NAME CALLING!! CHEERS Kyenju.

I am sorry brother, nimetumia brother, pia kama nimekosea, samahani kwa mara nyingine.
 
Rashid Kawawa alikuwa askofu wa kanisa gani vile?
Mkuu hapa tunazungumzia wanachama wa TAA kabla ya kuanzishwa TANU i.e before 1954. Rashidi Kawawa alikuja kujitokeza baadae kabisa kutoka kwenye vyama vya wafanyakazi, wala sishangai FireFOX anacho zungumza hapa - nakumbuka nilipo kuwa mtoto mdogo Bibi yangu mzaa Baba ambaye alikuwa ni MKATOLOKI aliwahi kuniambia kwamba ma Padri wa kizungu walikuwa wanawatisha wasijiunge na vyama/vikundi vinavyo pingana na utawala wa kikoloni? Walikwenda mbali zaidi kwa kuwatishia kwamba Wa Komunisiti ni mashetani, watu wa vijijini na elimu yao duni waliamini kwamba Ukomunisiti na (Prince of Darkness) i.e Lucifer walikuwa kitu kimoja, hata mimi niliamini hivyo hivyo!! Swali ni: Kwa nini baadhi ya Mapadri wa kizungu badala ya kueneza neno la BWANA walieneza vitisho kwa waumini wao kama mbinu za kutaka kuchelewesha ukombozi wa taifa letu?
 
Mkuu hapa tunazungumzia wanachama wa TAA kabla ya kuanzishwa TANU i.e before 1954. Rashidi Kawawa alikuja kujitokeza baadae kabisa kutoka kwenye vyama vya wafanyakazi, wala sishangai FireFOX anacho zungumza hapa - nakumbuka nilipo kuwa mtoto mdogo Bibi yangu mzaa Baba ambaye alikuwa ni MKATOLOKI aliwahi kuniambia kwamba ma Padri wa kizungu walikuwa wanawatisha wasijiunge na vyama/vikundi vinavyo pingana na utawala wa kikoloni? Walikwenda mbali zaidi kwa kuwatishia kwamba Wa Komunisiti ni mashetani, watu wa vijijini na elimu yao duni waliamini kwamba Ukomunisiti na (Prince of Darkness) i.e Lucifer walikuwa kitu kimoja, hata mimi niliamini hivyo hivyo!! Swali ni: Kwa nini baadhi ya Mapadri wa kizungu badala ya kueneza neno la BWANA walieneza vitisho kwa waumini wao kama mbinu za kutaka kuchelewesha ukombozi wa taifa letu?
Wewe mtu huwa unaandika mambo ya ujenzi sana humu JF watu wengi wanafyonza Ilm kupitia kwako.
 
Wewe mtu huwa unaandika mambo ya ujenzi sana humu JF watu wengi wanafyonza Ilm kupitia kwako.
Heshima yako mkuu wa NAURU, tuna wajibu wa kuwa wakweli na wawazi ili kunusuru Taifa letu kutokana na propaganda za kizushi zilizo jengeka toka siku nyingi kwa kutumia mbinu mbali mbali - hapa nimewapa mfano hai unao husu ukoo wetu, wala tusijidanganye kwamba mbinu hizi zimekwisha kufa, zipo pale pale kwa stahili nyingine, wala msifikili kelele zote za kupinga madhebu fulani yasijiunge na OIC wakati wenyewe ni member wa World Council of Churchs, CARITAS nk - wanaikalia Serikali kooni eti wasiwe na KADHI wao, mzee wangu aliwahi kuniambai wakati wa ukoloni KADHI ilikuwa luksa, Kenya na Uganda je hawana KADHI? Ninacho taka kusema hapa tuwe makini na mambo ambayo yanaweza kabisa kusambaratisha Taifa letu.
 
Mkuu hapa tunazungumzia wanachama wa TAA kabla ya kuanzishwa TANU i.e before 1954. Rashidi Kawawa alikuja kujitokeza baadae kabisa kutoka kwenye vyama vya wafanyakazi, wala sishangai FireFOX anacho zungumza hapa - nakumbuka nilipo kuwa mtoto mdogo Bibi yangu mzaa Baba ambaye alikuwa ni MKATOLOKI aliwahi kuniambia kwamba ma Padri wa kizungu walikuwa wanawatisha wasijiunge na vyama/vikundi vinavyo pingana na utawala wa kikoloni? Walikwenda mbali zaidi kwa kuwatishia kwamba Wa Komunisiti ni mashetani, watu wa vijijini na elimu yao duni waliamini kwamba Ukomunisiti na (Prince of Darkness) i.e Lucifer walikuwa kitu kimoja, hata mimi niliamini hivyo hivyo!! Swali ni: Kwa nini baadhi ya Mapadri wa kizungu badala ya kueneza neno la BWANA walieneza vitisho kwa waumini wao kama mbinu za kutaka kuchelewesha ukombozi wa taifa letu?


Mkuu

Sitaki kuongeza mangi mno kwenye hiyo bayana yako ilo njema mno...nisingependa ujeona labda najaribu kuku-patronize,hapana kabisa ndugu yangu.

Labda tu niseme,laiti kama hapo Tanzania wangepatikana Wasomi/Wanataaluma wenye ustaarabu,uadilifu na maono kama yako...basi hiyo nchi ingekua/itafika mbali mno.

Kama nilivyowahi kukufahamisha awali,yakuwa mimi nimeshapitia post/s zako kwenye threads kadhaa na kuchungulia michango yako mizuri,ya kisomi/kitaaluma na yenye mantik kubwa.

Nakukubali wewe kweli ni Product ya Minaki ya "enzi hizo"!

Shukran
,nakutakia siku njema.

Ahsanta.
 
Bila ya samahani, mkuu wakati mwingine "OTEKOZA BINTU BYO'KUTUSHONAZA" oyefutatilemu kake - ndio hayo mkuu.

KASINGE WAITU, OGWO'MUKAZI ABA NGWAKUBI. CHONKA MBWENU NDAMUTWAZA OKW'ALI. Mchana mwema
 
Mkuu hapa tunazungumzia wanachama wa TAA kabla ya kuanzishwa TANU i.e before 1954. Rashidi Kawawa alikuja kujitokeza baadae kabisa kutoka kwenye vyama vya wafanyakazi, wala sishangai FireFOX anacho zungumza hapa - nakumbuka nilipo kuwa mtoto mdogo Bibi yangu mzaa Baba ambaye alikuwa ni MKATOLOKI aliwahi kuniambia kwamba ma Padri wa kizungu walikuwa wanawatisha wasijiunge na vyama/vikundi vinavyo pingana na utawala wa kikoloni? Walikwenda mbali zaidi kwa kuwatishia kwamba Wa Komunisiti ni mashetani, watu wa vijijini na elimu yao duni waliamini kwamba Ukomunisiti na (Prince of Darkness) i.e Lucifer walikuwa kitu kimoja, hata mimi niliamini hivyo hivyo!! Swali ni: Kwa nini baadhi ya Mapadri wa kizungu badala ya kueneza neno la BWANA walieneza vitisho kwa waumini wao kama mbinu za kutaka kuchelewesha ukombozi wa taifa letu?
Jaribu kuepuka "generalization theory", sijui kama unafahamu moja ya safari ya Nyerere kwenda UNO katika harakati za kudai uhuru iligharimiwa na mapadre wa katoliki?
 
Back
Top Bottom