Elections 2015 Dr. W. Slaa ni fisadi kuliko Lowassa

mbowe kaingia chadema na kupewa ugombea siku hiyohiyo nadhani huyu anaongelea bafuni atakua amefanya yale ya nape sasa akili haijamkaa sawa
 
shindwa kwa jina la muhamad+yesu wewe shetwani FaizaFoxy , mapepo yote yakutoke na yawaingie wanao!

Muhammad Salla Allahu Alayhi Wasalaam ni Mtume kama ilivyo kwa Yesu Alayhi Salaam.

Wote hao walimuabudu Allah.
 
Faiza Foxy nikuambie tena;
Maulid na futari za magogoni sahau;

Sema ya huko kwenu nyie mabingwa wa
kutukana, ya kwetu tuachie tuhangaike nayo.

Hata Mkapa alifuturisha - usisahau hilo.
 
Bibie FaizaFoxy, ukiwa unatunga uongo wako ujue siku zote mwisho wa siku utaumbuka tu! Haya huyo Mbowe unayesema siku aliyojiunga Chadema ndio siku aliyopewa nafasi ya kugombea urais ni Mbowe yupi? Huyuhuyu Freeman au kuna mwingine?

Kwahiyo authenticity ya habari iko halo tu?? Mbona donati kubwa sana ila waangalia lile shimo pale Kati?
 

Hili pasho kwelikweli, umeigeuza stori kwa staili yake
#tutasikiaMengi
 

Dr Slaa yupo humu ndani... Atakujibu tuu, Hon Dr ni mstaarabu, c mvivu kujibu hoja kw ufasaha zinazomhusu.
Wala usihofu, kutaka ss tujadili.

Nawakilisha...
 
Thubutu. Babu kishatishwa, atajibu yote, la Lowassa hawezi kujibu.

cc Dr.W.Slaa

Bibie... Huyo babu wataka kusema katishiwa Nyau...!!!

Hahahaaa Hata kidogo. Kamanda yule, tena cheo cha General kw makamanda ya M4C CDM.
Utaweza kupumzika but Ukamanda upo palele.

Nukuu ktk Mawio: iliandikwa ya kwamba Dr aligomea KITI, akasifia kheri kuishi kw kula Mihogo kuliko usaliti.
 
Last edited by a moderator:

Makubwa na madogo haya! You are inclining towards UKAWA, kisa ur hatred against Dr. Slaa! Kweli ukistaajabu ya Musa utaona ya FaizaFoxy!
 
Last edited by a moderator:
Na usisahau katibu kuu wa chadema Slaa alimwita Lowassa fisadi. Leo vipi? Fisadi kawa msafi, na yule aliyesemwa msafi kawa fisadi zaidi ya fisadi? Au?
Haibadiliki kitu, Fisadi ni fisadi hata mchawi fisadi tena mbaya sana..
 
Mkuu mbona unarukia habari? Lowassa Fisadi basi lazima Dr.Slaa fisadi zaidi yake! hizi habari za wapi? Lowassa kaitwa mchawi na pengine kisha kamatwa na ungo wake akiwa uchi, kama jambazi la Uswazi!.

Na haileti akilini ukisema fulani Fisadi, Mchawi au Jambazi basi lazima wewe pia uwe kubwa lao! basi vyombo vya usalama vya nini na ingekuwa hivyo kila hakimu na mwanasheria angekuwa na sifa (CV) ya Ufisadi, Uchawi au Ujambazi kwanza...Watu mfano wake ndio hupanda mnazi uchi mchana kweupeee! usiwaone kwa nini?
 
Haibadiliki kitu, Fisadi ni fisadi hata mchawi fisadi tena mbaya sana..

Waambie, waambie, waambie.

Leo ndiyo mtajuwa kuwa alipotemwa na CCM hawakufanya makosa.
 


Swali linabaki lilelile. Kauli ya Mzee Ruksa umeielewa? Kwa kadri ya Ruksa mwanafunzi (yeye akaita UKAWA kuwa CCMB) hawezi kumshinda mwalimu (FISI WENU). Hayo si maneno yangu. Basi tueleze kwa Ruksa kakosea!
 

Kweli shukrani ya punda ni mateke, kwa hiyo mimi kama.. Katibu Mkuu wa CHADEMA nilikuwa fisadi???
Watanzania mtanikumbuka sana, nahakika ukawa lazima ife, take my words.
Uzinduzi mwema!!
 

Mwogope Mungu dada hata kama unapenda UKAWA ila hapa sikuungi mkono
 
Swali linabaki lilelile. Kauli ya Mzee Ruksa umeielewa? Kwa kadri ya Ruksa mwanafunzi (yeye akaita UKAWA kuwa CCMB) hawezi kumshinda mwalimu (FISI WENU). Hayo si maneno yangu. Basi tueleze kwa Ruksa kakosea!
UJUACHO KITONE, USOJUA BAHARI - MTU KITU, ASO KITU KINYAMA CHA MWITU...majibu yako yapo katika maneno yako mwenyewe..Mzee ruyksa anajua fika kwamba Lowassa kenda kuhodhi chama na mwanafunzi tu kwao katika siasa! wamemlea wenyewe!
 
Kwa kweli chadema wamewaaibisha wapenda mageuzi duniani kote,kwa maamuzi waliyoyafanya.Mzee Mkapa yuko sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…