Dr Willbrod Slaa alikua sahihi na yuko sahihi mpaka kesho

Dr Willbrod Slaa alikua sahihi na yuko sahihi mpaka kesho

Subira the princess

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2018
Posts
3,474
Reaction score
3,744
Wasalaam.
Kufuatia kushupaza shingo kwa bwana mbowe na kuamua kugombea uenyekiti wa chadema licha ya familia yake na wazee wenye busara kumsihi asigombee nimekumbuka maneno ya Dr slaa aliposema mbowe na genge lake ni wachumia matumbo na hawapo pale kwa ajili ya kupigania haki, uhuru na democrasia.

Ikuumbukwe pia mapema jana usiku wa manane Dr slaa alisisitiza kuwa mbowe amepokea maagizo kutoka CCM kuwa agombee tena nafasi yake ili aendelee kulamba asali na kuivunja rasmi chadema kwa maslahi yake na ccm. Mbowe licha ya kujua kwamba hakubaliki na wanachadema wa leo ametanguliza ubinafsi na uroho wa madaraka ili tu kuhakikisha mabwana wake ccm wanaendelea kutawala na kumtunza mwali wao kwa maslahi yao.

Shame on you bwana mbowe ww ni mamluki na Huna tofauti na kina profesa lipumba, ulaaniwe hakika
 
Wasalaam.
Kifuatia kushupaza shingo kwa bwana mbowe na kuamua kugombea uenyekiti wa chadema licha ya familia yake na wazee wenye busara kumsihi asigombee nimekumbuka maneno ya Dr slaa aliposema mbowe na genre lake ni wachumia matumbo na hawapo pale kwa ajili ya kupigania haki, uhuru na democrasia.

Ikuumbukwe pia mapema jana usiku wa manane Dr slaa alisisitiza kuwa mbowe amepokea maagizo kutoka CCM kuwa agombe tena nafasi yake ili aendelee kulamba asali na kuivunja rasmi chadema kwa maslahi yake na ccm. Mbowe licha ya kujua kwamba hakubaliki na wanachadema wa leo ametakuliza ubinafsi na uroho wa madaraka ili tu kuhukikisha mabwana wake ccm wanaendelea kutawala na kumtunza mwali wao kwa maslahi yao.

Shame on you bwana mbowe ww ni mamluki na Huna tofauti na kina profesa lipumba, ulaaniwe hakika
maskini Kibaraka Lisu 2025 anakua mikono mitupu backbencher dah!!

tamaa ni kitu mbaya sana aise ndrugu zango 🐒
 
Wasalaam.
Kifuatia kushupaza shingo kwa bwana mbowe na kuamua kugombea uenyekiti wa chadema licha ya familia yake na wazee wenye busara kumsihi asigombee nimekumbuka maneno ya Dr slaa aliposema mbowe na genre lake ni wachumia matumbo na hawapo pale kwa ajili ya kupigania haki, uhuru na democrasia.

Ikuumbukwe pia mapema jana usiku wa manane Dr slaa alisisitiza kuwa mbowe amepokea maagizo kutoka CCM kuwa agombe tena nafasi yake ili aendelee kulamba asali na kuivunja rasmi chadema kwa maslahi yake na ccm. Mbowe licha ya kujua kwamba hakubaliki na wanachadema wa leo ametakuliza ubinafsi na uroho wa madaraka ili tu kuhukikisha mabwana wake ccm wanaendelea kutawala na kumtunza mwali wao kwa maslahi yao.

Shame on you bwana mbowe ww ni mamluki na Huna tofauti na kina profesa lipumba, ulaaniwe hakika
VERY TRUE....MBOWE Ni .....
 
Sio Slaa tu, hata Msigwa alikua sahihi. Nilichelewa kumuelewa Msigwa.

Mtukufu Ayatolah Freeman Alkaeli Mbowe Kuku Ng'ebendu wa Zabanga Mtawala wa Milele wa Chadema ni sehemu ya mfumo.
Aisee kweli sikumuelewa msingwa mpaka leo ndo nimemuelewa mbowe hana tofauti na shetani
 
Hii tabia ya kugombana kwenye chama chenu na kuiangushia lawama CCM ikome Tena nasema IKOME kwa herufi kubwa. Slaa huyu huyu aliyepewa ubalozi na CCM akaikacha Chadema Leo ni wa kumtolea mfano na watanzania wamuamini acheni hizo nyie
 
Ni jambo la aibu kupinga na kukosoa demokrasia inayofanyika ndani ya CHADEMA. Kila mwanachama ana haki ya msingi ya kugombea. Katiba ya chama haiweki ukomo wa uongozi. Sasa tatizo li wapi? Kama mnataka Lissu si subirini sanduku la kura? Hii ndio maana ya kuchukua fomu na kugombea, sio kupita bila kupingwa.

Mashabiki wa Lissu msidumaze demokrasia.
 
Wasalaam.
Kufuatia kushupaza shingo kwa bwana mbowe na kuamua kugombea uenyekiti wa chadema licha ya familia yake na wazee wenye busara kumsihi asigombee nimekumbuka maneno ya Dr slaa aliposema mbowe na genge lake ni wachumia matumbo na hawapo pale kwa ajili ya kupigania haki, uhuru na democrasia.

Ikuumbukwe pia mapema jana usiku wa manane Dr slaa alisisitiza kuwa mbowe amepokea maagizo kutoka CCM kuwa agombee tena nafasi yake ili aendelee kulamba asali na kuivunja rasmi chadema kwa maslahi yake na ccm. Mbowe licha ya kujua kwamba hakubaliki na wanachadema wa leo ametanguliza ubinafsi na uroho wa madaraka ili tu kuhakikisha mabwana wake ccm wanaendelea kutawala na kumtunza mwali wao kwa maslahi yao.

Shame on you bwana mbowe ww ni mamluki na Huna tofauti na kina profesa lipumba, ulaaniwe hakika
Kiukweli Mboye anaenda kuizika CHADEMA rasmi kama atashinda, soon ACT inapanda kama ilivyokuwa kwa NCCR MAGEUZI NA CUF.
 
Ni jambo la aibu kupinga na kukosoa demokrasia inayofanyika ndani ya CHADEMA. Kila mwanachama ana haki ya msingi ya kugombea. Katiba ya chama haiweki ukomo wa uongozi. Sasa tatizo li wapi? Kama mnataka Lissu si subirini sanduku la kura? Hii ndio maana ya kuchukua fomu na kugombea, sio kupita bila kupingwa.

Mashabiki wa Lissu msidumaze demokrasia.
Goli la mkono, inaonekana ccm na mbowe ni uji na mgonjwa
 
Hii tabia ya kugombana kwenye chama chenu na kuiangushia lawama CCM ikome Tena nasema IKOME kwa herufi kubwa. Slaa huyu huyu aliyepewa ubalozi na CCM akaikacha Chadema Leo ni wa kumtolea mfano na watanzania wamuamini acheni hizo nyie
Aliongea ukweli mchungu na ana full information
 
Slaa mwenye kimada kwenye kundi la Covid19 hapaswi kumnyooshea mtu kidole. Halafu kimada ni mtoto wa swahiba wake... Slaa ukimweka karibu na mke au bintiyo lazima amtafune.
 
Back
Top Bottom