Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Haaminiki huyo alinunuliwa na CCM kwa vipande thelathini vya fedha 2015 kwa sasa ni kama anampigia mbuzi gitaa.Aliongea ukweli mchungu na ana full information
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaminiki huyo alinunuliwa na CCM kwa vipande thelathini vya fedha 2015 kwa sasa ni kama anampigia mbuzi gitaa.Aliongea ukweli mchungu na ana full information
Vp mama, na wewe alishakutafuna?Slaa mwenye kimada kwenye kundi la Covid19 hapaswi kumnyooshea mtu kidole. Halafu kimada ni mtoto wa swahiba wake... Slaa ukimweka karibu na mke au bintiyo lazima amtafune.
Slaa alikimbia utapeli wa Mbowe. Na hakuondoka peke yake.Haaminiki huyo alinunuliwa na CCM kwa vipande thelathini vya fedha 2015 kwa sasa ni kama anampigia mbuzi gitaa.
Acha blaa blaa slaa ni msalitiSlaa alikimbia utapeli wa Mbowe. Na hakuondoka peke yake.
Huwezi kutuletea mtu mliyemuhubiri kuwa fisadi kuwa mgombea Tena baada ya kukatwa CCM na pia kwakuvunja katiba ya CHADEMA.
2015 Mbowe alilamba mpunga wa kutosha ili kufanikisha gia ya angani
Ukweli unazidi kuwa wazi, kat ya Slaa na Mbowe itajulikana nani ni msaliti.Acha blaa blaa slaa ni msaliti
Kwamba Dr. Slaa na Mch. Msigwa wanamshutumu Mbowe kwa kuchukua hela na maagizo kutoka CCM? Kwani wao wapo kwenye chama gani? 😂😂😂Sio Slaa tu, hata Msigwa alikua sahihi. Nilichelewa kumuelewa Msigwa.
Sijui kama kuna anye pinga haya uliyo andika hapa; mradi tu huo uchaguzi uwe HURU na wa HAHI.Ni jambo la aibu kupinga na kukosoa demokrasia inayofanyika ndani ya CHADEMA. Kila mwanachama ana haki ya msingi ya kugombea. Katiba ya chama haiweki ukomo wa uongozi. Sasa tatizo li wapi? Kama mnataka Lissu si subirini sanduku la kura? Hii ndio maana ya kuchukua fomu na kugombea, sio kupita bila kupingwa.
Mashabiki wa Lissu msidumaze demokrasia.
Na iwe hivyo.Kiukweli Mboye anaenda kuizika CHADEMA rasmi kama atashinda, soon ACT inapanda kama ilivyokuwa kwa NCCR MAGEUZI NA CUF.
Kamtafuna mama yako.Vp mama, na wewe alishakutafuna?
Aisifuye mvua imemnyea!
Kamtafuna mama yako.Vp mama, na wewe alishakutafuna?
Aisifuye mvua imemnyea!