Huyu mchochezi...Dr. Zaik Nakir amwesasili nchini Zanzibar na katika mahojiano aliyoyafanya amesema kuwa mhadhara atakaofanya hauna utata wowote kwani ataongelea vitu vilivyopo katika maandiko ya Biblia na Quran. Amesema kuwa Biblia imemuongelea Muhammad na pia Quran imemuongelea Yesu.
Source:
View: https://m.youtube.com/watch?v=SeRWg75qAM8
Nenda ukaulize swali wewe ila tahadhari hana uvumilivi sana na maswali ya kijinga aka maswali ya hisia yasio na kichwa Wala makalio.Huyu jamaa nimeona clip moja, alipigwa swali akashindwa kujibu, akawa mkali. Hayupo stable, si mvumilivu na hajibu hoja
View: https://www.youtube.com/watch?v=k3tkqSNIh_4
Ukiona dini inaruhusu uongo ili kuitetea wala usipoteze muda.Huyu jamaa nimeona clip moja, alipigwa swali akashindwa kujibu, akawa mkali. Hayupo stable, si mvumilivu na hajibu hoja
View: https://www.youtube.com/watch?v=k3tkqSNIh_4
Software engineer 🤔🤔Huyu jamaa nimeona clip moja, alipigwa swali akashindwa kujibu, akawa mkali. Hayupo stable, si mvumilivu na hajibu hoja
View: https://www.youtube.com/watch?v=k3tkqSNIh_4
Yaani tumfate Muhammad aliyekuja mwaka 600AD?Ziara yake Afrika ya Magharibi
Mayahudi na Wakristo wanapaswa Kufuata Amri za Mtume Muhammad (SAW) - Dk Zakir Naik
View: https://m.youtube.com/watch?v=ccy8I8nTKpwJews and Christians should Follow the Commandments of Prophet Muhammad (pbuh) - Dr Zakir Naik
Waumini walalamika :
1 day ago
View: https://m.youtube.com/watch?v=ipig0nJIhIcwamemfungia mhadhiri wa kimataifa Dr. Zakir Naik msikitini unamuulizaje, mtu anauliza swali yuko nje.
Mhadhara ukumbini ambapo kila mtu wa imani yoyote anaingia, na sio huo upuuzi wa kufungiana ndani waislam watupu. Eti wakristo wako nje.
Zanzibar mmetia aibu, na hata uyo mwenyewe Dr. Zakir Naik hajapenda ndo mana kawa mkali sana leo 31 December 2024 ndani ya Masjidi Zanjibar Zanzibar
Mdau mwingine :
Hakika lugha gongana imeleta changamoto :
Kujua lugha nyingi ni sunnah katika uislam ili uweze kulifikisha neno lake .napia mungu ndo kaumba hayo makabila na lugha. quran itasomwa kiarabu na tafseer inatumika lugha yoyote mpk kisukuma ukitaka unatfsiriwa tu .
TAREHE 2/01/2025 DIAMOND JUBILEE DAM KUANZIA SAA 1 USIKU HADI SAA 6 USIKU