Dr. Zakir Naik awasili Zanzibar, afafanua kuhusu mhadhara atakaofanya, asema hakuna utata kwa wale wanayoyajua maandiko

Bibilia gani iliomuongelea Muhammad labda Bibilia yake
 
Atulie kabisa ngoja akutane na fransis Ndacha,, mchungaji Yohana,na Paul Husein tumsilimishe
 
Yaani tumfate Muhammad aliyekuja mwaka 600AD?

Muhammad asiyejua mwisho wake ukoje,asiyejua atafanywa nini yeye na wanaomfata ,ndio mnatushauri tumfate?

Muhammad ni sawa na kipofu na anawaongoza wote watatumbukia shimoni
 

Mkuu jambo lolote lishakuwa na mkono wa CCM tegemea maharibiko tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…