Iblis Bin Shetan
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 1,824
- 2,445
mkuu tupe matokeoMshkaji ana mikwara eti kavua na shati kabisa
Hapo ronaldo baada kusawazishaMshkaji ana mikwara eti kavua na shati kabisa
Sikua eneo la tukio Mkuumkuu tupe matokeo
Acha tu appreciate tu kuwa Sisco ni bingwaJAVA LOUNGE
SISCO 3, DILIMA 1
NGOMA 24 ZIMEKAMILIKA OMARI JOHN + TEGE KUMI ZA MZEE NGAPU[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] ,,,
FULL TIME:,,,,,
,
Sisco kafa na taa ya treni aliyoanza yeye,,,na Dilima kafa na kavimba aliyoanza yeye pia kafa treni aliyoanzishiwa kwenye tege na goli la tatu kafa tege aliyoanzisha yeye[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] ukumbi ni tulivu kabisa
Anaomba Rematch etiAcha tu appreciate tu kuwa Sisco ni bingwa
Ronaldo sijui anashindiwa wapi na huyu bwana mdogo?
Kwa vigezo gani?Anaomba Rematch eti
Nitakufa nayo mkuulivapool ya wapi wakati Liverpool wenyewe mwaka huu tia maji tia maji
JAVA LOUNGE
SISCO 3, DILIMA 1
NGOMA 24 ZIMEKAMILIKA OMARI JOHN + TEGE KUMI ZA MZEE NGAPU[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] ,,,
FULL TIME:,,,,,
,
Sisco kafa na taa ya treni aliyoanza yeye,,,na Dilima kafa na kavimba aliyoanza yeye pia kafa treni aliyoanzishiwa kwenye tege na goli la tatu kafa tege aliyoanzisha yeye[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] ukumbi ni tulivu kabisa
team moja hao..hawawezi cheza,ronaldo na noel labda au na nduliNdiyo maana bado siamini kama Cr7 alimzuia Mkulima siku ile kwa uwezo wake wakati Sosqo bingwa wake alikula 3 akatoka mbio. Game ya Sosqo na Noel inahitajika.
Wanazingua kuleta utimu kwenye madrafti. Huu ni mchezo wa mmoja mmoja.team moja hao..hawawezi cheza,ronaldo na noel labda au na nduli
tatzo sana..jana sisco alikua anakagua bao na nduli wakipewa break.Wanazingua kuleta utimu kwenye madrafti. Huu ni mchezo wa mmoja mmoja.
ooh mkuu madrafti utimu ni lazima maana wanapeana mbinuWanazingua kuleta utimu kwenye madrafti. Huu ni mchezo wa mmoja mmoja.
Yani nimecheka sana 🤣🤣Mshkaji ana mikwara eti kavua na shati kabisa
Ronaldo yupo peke yake wakati wenzake wapo kundi la watu hivyo wale watu huru wanaonganisha mawazo yao ya mabingwa wote kuanzia noel sisco na nduli wakitoa mawazo hapo yanakuwa hatari maana ni comboination la maana ili kupambana nao Ronaldo anatakiwa nae aanze kutengeneza watu wakumsaidia kimbinu sio kubaki peke yake hataweza kupambana nao akiwa aloneAcha tu appreciate tu kuwa Sisco ni bingwa
Ronaldo sijui anashindiwa wapi na huyu bwana mdogo?
kweli kabisa yaan imagine sisco angekuwa kivyake na nduliu kivyake na noel kivyake huku Ronaldo ingekuwa bonge la mchezo amakundi yanaua vipaji wee ngalia hata bongofleva kama vany na konde wangekuwa wasafi je changamoto diamond angepata kweliWanazingua kuleta utimu kwenye madrafti. Huu ni mchezo wa mmoja mmoja.