Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hivi nahangaika na kuzuia pesa isinikimbie mzee! Majukumu, na sio kuzuia sare tena!ili ucheze samba kete gani ya kwanza unaanza
kama unalijua hilo kwanini unaniambia nimeshau kuna wakati karne hii kuna major kuna pasati kuna tege kuna mabano kuna kavimba kuna tege kuna taa tren ambayo michezo iyo ni saba mkicheza home and away inatoa oj 14 Omari john iyo samba unayosema ipo ndani ya majorSass hivi nahangaika na kuzuia pesa isinikimbie mzee! Majukumu, na sio kuzuia sare tena!
Maswali ya samba na kuzuia sare nishawachia nyie!...
Maisha yanaenda kasi na ni kama draft .....ukiteleza kidogo....hata hiyo sare huipati!.
Umenikumbusha copy za draft mzee, ila nyingi Kati ya hizo naona ni ngeni kwangu. Labda KWA kuwa sijalicgeza kitamboa..kama unalijua hilo kwanini unaniambia nimeshau kuna wakati karne hii kuna major kuna pasati kuna tege kuna mabano kuna kavimba kuna tege kuna taa tren ambayo michezo iyo ni saba mkicheza home and away inatoa oj 14 Omari john iyo samba unayosema ipo ndani ya major
kwa hiyo unajua pasati na samba tu vp kuhusu mabano nugza kavimba taa tren na tegeUmenikumbusha copy za draft mzee, ola nyingi Kati ya hizo naona ni mpya ...ila pasat advance & samba nilizicheza sana 2000-3003
Huku niliko sasa kumenifanya kupoteza unyama wangu wote wa draft! Toka kipindi kile.kwa hiyo unajua pasati na samba tu vp kuhusu mabano nugza kavimba taa tren na tege
inaonekana ulikuwa fundi ila sasa tupo kwenye hiyo michezo saba au Omari john 14Huku niliko sasa kumenifanya kupoteza unyama wangu wote wa draft! Toka kipindi kile.
Wanacheza french tu na sio british....
French ilinishinda hadi sasa. ni kama vile niko ulimwengu mwingine kabisa
😀 😀 😀 😀 😀Sasa hivi nahangaika na kuzuia pesa isinikimbie mzee! Majukumu, na sio kuzuia sare tena!
game zipi tenaNaamgaliaje game?
Nipe link mzeeNi kwa vile hufatilii madraft
Ila Juzi Sisco ndani ya Siku 2 kachukua mataji mawili yote kala Kama 800k
Ndipo mzee Java akatoa ofa azuie sare kwa MKULIMA
tuliopo kwenye Grupu la Draft Tz tunayajua haya
Wacheza Draft kwasasa wale Wazuri kwa Mwez anaingiza had million 3
Nipe link ya hilo group mkuuNi kwa vile hufatilii madraft
Ila Juzi Sisco ndani ya Siku 2 kachukua mataji mawili yote kala Kama 800k
Ndipo mzee Java akatoa ofa azuie sare kwa MKULIMA
tuliopo kwenye Grupu la Draft Tz tunayajua haya
Wacheza Draft kwasasa wale Wazuri kwa Mwez anaingiza had million 3
Duh huyo mtu sio wa kawaida,hata mimi kila nikicheki hapo naona ni goli kabisa halikwepeki.Ipo hivo Hilo kwa wengi hata mafundi wenyewe wanasema Ni Goli kwa 3
Ila mkulima alitoa Sare vzr kabisa, na Video yake IPO
Kuna Step anafanya hapo Hadi Sare
Kimeshachukuliwa Kama kipande, watu wataanza kuzunguka nacho kuwapiga watu pesa
Niombe hiyo video mdauDuh huyo mtu sio wa kawaida,hata mimi kila nikicheki hapo naona ni goli kabisa halikwepeki.
Sasa hapo kete tatu si alipaswa afunue wahesabu??Ipo hivo Hilo kwa wengi hata mafundi wenyewe wanasema Ni Goli kwa 3
Ila mkulima alitoa Sare vzr kabisa, na Video yake IPO
Kuna Step anafanya hapo Hadi Sare
Kimeshachukuliwa Kama kipande, watu wataanza kuzunguka nacho kuwapiga watu pesa
Sasa hapo ww si kila kete itakayosukumwa na kopyuta nd atakavyocheza mpenzan mzeeInakuwa hivi, kuna program za computer zimemezeshwa kila copy ya draft na mbinu, hakuna kipya utachofanya ambacho haijui, kwa kifupi ni kwamba hakuna mwanadamu anaeweza kushinda, na hata zikicheza computer 2 ni droo.
mfano wa hizi program ni kama chinook iliyoweza kuzimeza kopi zote za kushinda na kutoa sare. HAIFUNGIKI !! achana na hizo games za kwenye simu, hazifikii hata theluthi ya kilichomo kwenye chinook.
Kwa mtu anaecheza mtandaoni anaweza kuzitumia program hizo kujimwambafai, upande moja anakuwa na laptop yenye hiyo program upande wa pili ndio anakuwa na simu anayochezea draft mtandaoni.
Mpinzani akisukuma kete, nae anaigiliza hio move anaiweka kwenye program ya computer, computer ikicheza yeye anaigilizia anacheza hivyo hivyo kwenye simu yake mtandaoni,
nimestuka sana pale imefikia hatua huyo mkulima hataki kajiamini kiasi kuviomba vikundi vya draft viwe vinahangia kwa mpigo wawe wanaunganisha vichwa, yawezekana ni mtaalam ila kwenye hili ndipo nilipomtilia shaka huenda ana kichwa kama computer ama anatumia program ya computer.
Wanaocheza drafti yawezekana wanachojua zaidi ni drafti ila wasisahau kwamba teknolojua imekuwa kubwa sana, wawe makini !! wao wanaweza kudhani kwa kuwa anaecheza ni mtu basi wanamwamini kumbe mtu wanaecheza nae anaigilizia kwenye computer.
Nasikia kuna sponsor analipa pesa... Awe makini.