DRAFT ONLINE: Sisco vs Mkulima

DRAFT ONLINE: Sisco vs Mkulima

JAVA LOUNGE

SISCO 3, DILIMA 1


NGOMA 24 ZIMEKAMILIKA OMARI JOHN + TEGE KUMI ZA MZEE NGAPU[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] ,,,


FULL TIME:,,,,,
,



Sisco kafa na taa ya treni aliyoanza yeye,,,na Dilima kafa na kavimba aliyoanza yeye pia kafa treni aliyoanzishiwa kwenye tege na goli la tatu kafa tege aliyoanzisha yeye[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] ukumbi ni tulivu kabisa
 
JAVA LOUNGE

SISCO 3, DILIMA 1


NGOMA 24 ZIMEKAMILIKA OMARI JOHN + TEGE KUMI ZA MZEE NGAPU[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] ,,,


FULL TIME:,,,,,
,



Sisco kafa na taa ya treni aliyoanza yeye,,,na Dilima kafa na kavimba aliyoanza yeye pia kafa treni aliyoanzishiwa kwenye tege na goli la tatu kafa tege aliyoanzisha yeye[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] ukumbi ni tulivu kabisa
Acha tu appreciate tu kuwa Sisco ni bingwa

Ronaldo sijui anashindiwa wapi na huyu bwana mdogo?
 
JAVA LOUNGE

SISCO 3, DILIMA 1


NGOMA 24 ZIMEKAMILIKA OMARI JOHN + TEGE KUMI ZA MZEE NGAPU[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] ,,,


FULL TIME:,,,,,
,



Sisco kafa na taa ya treni aliyoanza yeye,,,na Dilima kafa na kavimba aliyoanza yeye pia kafa treni aliyoanzishiwa kwenye tege na goli la tatu kafa tege aliyoanzisha yeye[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] ukumbi ni tulivu kabisa

Ndiyo maana bado siamini kama Cr7 alimzuia Mkulima siku ile kwa uwezo wake wakati Sosqo bingwa wake alikula 3 akatoka mbio. Game ya Sosqo na Noel inahitajika.
 
Screenshot_20181224-220259.png
naomba kuuliza wataalam..
Hii style ya kuanza hivi na major huwa naona wanatumia mabingwa na ina matokeo mazuri..
Swali langu endapo unacheza na mtaalamu halafu yeye ndio akaanzisha draft kwa mtindo huu, ni style ipi nzuri ya kumuingia nayo ili upate matokeo mazuri
 
Acha tu appreciate tu kuwa Sisco ni bingwa

Ronaldo sijui anashindiwa wapi na huyu bwana mdogo?
Ronaldo yupo peke yake wakati wenzake wapo kundi la watu hivyo wale watu huru wanaonganisha mawazo yao ya mabingwa wote kuanzia noel sisco na nduli wakitoa mawazo hapo yanakuwa hatari maana ni comboination la maana ili kupambana nao Ronaldo anatakiwa nae aanze kutengeneza watu wakumsaidia kimbinu sio kubaki peke yake hataweza kupambana nao akiwa alone
 
Wanazingua kuleta utimu kwenye madrafti. Huu ni mchezo wa mmoja mmoja.
kweli kabisa yaan imagine sisco angekuwa kivyake na nduliu kivyake na noel kivyake huku Ronaldo ingekuwa bonge la mchezo amakundi yanaua vipaji wee ngalia hata bongofleva kama vany na konde wangekuwa wasafi je changamoto diamond angepata kweli
 
Back
Top Bottom