DRAFT ONLINE: Sisco vs Mkulima

Sass hivi nahangaika na kuzuia pesa isinikimbie mzee! Majukumu, na sio kuzuia sare tena!

Maswali ya samba na kuzuia sare nishawachia nyie!...

Maisha yanaenda kasi na ni kama draft .....ukiteleza kidogo....hata hiyo sare huipati!.
kama unalijua hilo kwanini unaniambia nimeshau kuna wakati karne hii kuna major kuna pasati kuna tege kuna mabano kuna kavimba kuna tege kuna taa tren ambayo michezo iyo ni saba mkicheza home and away inatoa oj 14 Omari john iyo samba unayosema ipo ndani ya major
 
Umenikumbusha copy za draft mzee, ila nyingi Kati ya hizo naona ni ngeni kwangu. Labda KWA kuwa sijalicgeza kitamboa..

Ila pasat advance & samba nilizicheza sana 2000-3003
 
kwa hiyo unajua pasati na samba tu vp kuhusu mabano nugza kavimba taa tren na tege
Huku niliko sasa kumenifanya kupoteza unyama wangu wote wa draft! Toka kipindi kile.

Wanacheza french tu na sio british....
French ilinishinda hadi sasa. ni kama vile niko ulimwengu mwingine kabisa
 
Nipe link mzee
 
Nipe link ya hilo group mkuu
 
Ipo hivo Hilo kwa wengi hata mafundi wenyewe wanasema Ni Goli kwa 3

Ila mkulima alitoa Sare vzr kabisa, na Video yake IPO

Kuna Step anafanya hapo Hadi Sare

Kimeshachukuliwa Kama kipande, watu wataanza kuzunguka nacho kuwapiga watu pesa
Duh huyo mtu sio wa kawaida,hata mimi kila nikicheki hapo naona ni goli kabisa halikwepeki.
 
Ipo hivo Hilo kwa wengi hata mafundi wenyewe wanasema Ni Goli kwa 3

Ila mkulima alitoa Sare vzr kabisa, na Video yake IPO

Kuna Step anafanya hapo Hadi Sare

Kimeshachukuliwa Kama kipande, watu wataanza kuzunguka nacho kuwapiga watu pesa
Sasa hapo kete tatu si alipaswa afunue wahesabu??
 
Sasa hapo ww si kila kete itakayosukumwa na kopyuta nd atakavyocheza mpenzan mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…