Iblis Bin Shetan
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 1,824
- 2,445
hapo mbona mafundi wengi sana
Haa mkuu hapa nimeambulia matokeo tuu. yaani sijui kitu.MATOKEO
MKULIMA vs SISCO
Michezo: Walitakiwa kucheza michezo 24- Yaani Omary John na tege kumi ,,, Lakini michezo iliyochezwa ni 15 tu Yaani Omary John na Tege moja ya Mzee Ngapu
MATOKEO: Mkulima 2, Sisco 0,,
Sisco amekuja kufa goli la kwanza kwenye Omary John ngoma ya 14 ambayo Sisco alianza Pasati na amekuja kufa Tege ya kwanza ambayo Mkulima ndie aliecheza tege na hapo ndipo Dogo Sisco alipotupa taulo na kulala Mbele
Naomba kuwasilisha,,,,,,
Mafund ni weng ila weng sio wataalam wa kufundisha pia watu weng niliowaona mafund hawakuwahi kumfunga dalmax 100% in short wanacopy ambazo hawajazifanyia tafit za kutosha ndo maana wanapata tabu kupata sare kwa dalmaxhapo mbona mafundi wengi sana
dalmax ni mtu wa sare yule na kuna watu wanamfunga sana mfano dalmax akicheza sumu ya pandu unamfunga haijui au hata mabano unamfunga sanaMafund ni weng ila weng sio wataalam wa kufundisha pia watu weng niliowaona mafund hawakuwahi kumfunga dalmax 100% in short wanacopy ambazo hawajazifanyia tafit za kutosha ndo maana wanapata tabu kupata sare kwa dalmax
Apo ngoma zote nazijua, sema nyingine sijui adi mwisho..CV joint kama unataka kujua draft niambie utajua copy zote kuanzia
sumu ya pandu
mabano
pasati
mbuzi kavimba
taa tren
major yote
nugza
tege
ila uwe na vitu vifuatavyo smart phone yenye uwezo wa kuchukua dalmax,az record,utenge muda wa kujifunza maana linapoteza muda ukitaka kujua na pesa kidogo ukiwa na hivi nakuhakikishia utajua tu
ila kama hujui copy inakuwa ngmu kuwa mkali ingawa unaweza shinda katika draft muhimu kujua copy hesabu zitakuja tu zenyewe maana michezo yote ya draft ni sare kufungwa lazima ukosee ndio unafungwa sasa copy ni kama njia kwakuwa michezo yote ilichezwa njia zake that's why draft ni mchezo wa sare ukioona unafungwa kuna mahala umekosea prove kama draft ni sare chukua dalmax weka analysis halafu fatisha utaona mchezo unaisha sareApo ngoma zote nazijua, sema nyingine sijui adi mwisho..
Ila mimi hesabu za draft napiga sana, hata kama sijuaijua copy, ila kunifunga ni shughuli
acha mbwembwe, wenye maneno mengi kama wewe huwa hawajui drafti.Apo ngoma zote nazijua, sema nyingine sijui adi mwisho..
Ila mimi hesabu za draft napiga sana, hata kama sijuaijua copy, ila kunifunga ni shughuli
aiseee huko playok kuna maajabu nilicheza na jamaaa nikamdharau maana mm nina 1380 yeye ana 1090 sasa nikashangaa kanipiga tatu za haraka kumbe jamaa inaonekana alikuwa kampa fundi wee si yule fundi kasepa nilimpiga 6 mfulululizo akakimbiaacha mbwembwe, wenye maneno mengi kama wewe huwa hawajui drafti.
playok nimetoka kulipasua jitu linalofikiria sana. unatumia ID gani playok?
kwenye mchezo wa drafti ukijiona unajua, kuna wanaojua zaidi.aiseee huko playok kuna maajabu nilicheza na jamaaa nikamdharau maana mm nina 1380 yeye ana 1090 sasa nikashangaa kanipiga tatu za haraka kumbe jamaa inaonekana alikuwa kampa fundi wee si yule fundi kasepa nilimpiga 6 mfulululizo akakimbia
kabisa lakini michezo yote unaijua kwa majina na kuicheza pia hata kama sio kwa kiwango kikubwa yaan copy zile zinzotengeneza oj 14kwenye mchezo wa drafti ukijiona unajua, kuna wanaojua zaidi.
mimi pamoja na kuimprove kwa kuwazidi kiwango waliokuwa wananifunga hapa kijiweni, lakini playok ninaambulia points 1200 hadi 1300. nikiwa kwenye range ya 1350+ nitakuwa na amani sana, hapo nitakuwa nimepanda kiwango.
Mkuu njoo tupashe, natumia nizzleacha mbwembwe, wenye maneno mengi kama wewe huwa hawajui drafti.
playok nimetoka kulipasua jitu linalofikiria sana. unatumia ID gani playok?
We unatumia Id gani.?acha mbwembwe, wenye maneno mengi kama wewe huwa hawajui drafti.
playok nimetoka kulipasua jitu linalofikiria sana. unatumia ID gani playok?
poaMkuu njoo tupashe, natumia nizzle
natumia ID ya sichagui, cheki statistics yangu ya watu niliocheza nao hapaWe unatumia Id gani.?
Naomba contant zako mkalCV joint kama unataka kujua draft niambie utajua copy zote kuanzia
sumu ya pandu
mabano
pasati
mbuzi kavimba
taa tren
major yote
nugza
tege
ila uwe na vitu vifuatavyo smart phone yenye uwezo wa kuchukua dalmax,az record,utenge muda wa kujifunza maana linapoteza muda ukitaka kujua na pesa kidogo ukiwa na hivi nakuhakikishia utajua tu
Huyo namsikiaga tuNakupa no za bingwa draft Tanzania anaitwa Ronaldo ushampta
nakutumia no zake uongee nae anauza copyHuyo namsikiaga tu
Hujanitumia bossnakutumia no zake uongee nae anauza copy