ilala yetu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 1,451
- 2,348
Ronaldo nae Yuko vizuri na hii mechi kutokana na fittnes yake katoka kumpiga Noel 3 bila wat walijua anaenda kushinda,hii mechi wat wamepandia Hadi milioni, ila yule dogo sio mtu kabisa akiitaka mechi,kwa Sasa kwa nchi hii hakuna anaeweza kukalia nae benchi[emoji23][emoji23][emoji23] watu walichanga nauli Arusha pale stadium kuja kucheck hili pambano pamoja na la Sisco vs Ronaldo
Tokeo la Sisco kumpiga Ronaldo 2 na hili la mwisho Ronaldo kupigwa limenifanya nimwone Ronaldo wa kawaida ila mbishi ukikaa vibaya utalia
Wachezaji wa mikoani ambao wako vizuri kwa Sasa ni kili tanga na msomali.Kuna Mzee pia anaitwa Mzee Rama wa Kilimanjaro, huyo pekee ndio alitoa sare 2 na Msomali
Sasahv Msomali yupo hapo Dar, ila anasubiriwa Arusha fainali Julai hii hii
Ila Mzee anajua sanaa
Sasa mbona sisco anapigwa na mkulima, tena sisco anaambiwa atafute sare, kama mkulima anatumia software, ni software gani inacheza draft kubwa (Tanzania rules) kama la mkulima? ilala yetuWachezaji wa mikoani ambao wako vizuri kwa Sasa ni kili tanga na msomali.
Sisco alikua na ziara tanga majuz apa wachezaji wote wakubwa wa tanga kapiga 7.
yule mtoto ana matatzo kwa Sasa.
Huyo mkulima ni kipengele huyo muache tu..Sasa mbona sisco anapigwa na mkulima, tena sisco anaambiwa atafute sare, kama mkulima anatumia software, ni software gani inacheza draft kubwa (Tanzania rules) kama la mkulima? ilala yetu
Huyo mkulima hajawai kuonekana Wala hataki kuonekana,Sasa hatuwezi kuzungumzia watu wasioonekana haijulikani ni binadamu au mzimu.Sasa mbona sisco anapigwa na mkulima, tena sisco anaambiwa atafute sare, kama mkulima anatumia software, ni software gani inacheza draft kubwa (Tanzania rules) kama la mkulima? ilala yetu
aonekane asionekane mimi ni shabiki wa mkulima namba mojaHuyo mkulima hajawai kuonekana Wala hataki kuonekana,Sasa hatuwezi kuzungumzia watu wasioonekana haijulikani ni binadamu au mzimu.
aonekane asionekane mimi ni shabiki wa mkulima namba moja
Ningekuwa na hela ningedhamini Gemu ya Ronaldo na mkulima irudiwe, sharti michezo 24, cr7 apate sare au ashinde basi freshkaka mm nlipitia game za mkulima karibhni zote asee kibinaadam kwel mtu huwezi kosea hata kidogo? game alizofungwa mkulima ni either muda au ameamua kuswitch side kwaiyo atajiloozisha.
amefungwa game moja tu kihalali katika loose zote zile unazoziona apart from akichezaga chineese,,tena iyo game kafungwa na david mbeya ukipata muda kama bado ipo kaipitie..
Ndio maana umu nlishawai sema huu mkataba wa sare akipewa cr7 na mkulima atabeba ela cr7,, kwasababu cr7 kule anajiita ashkelon na ndo alisema hii ni program.. kwaiyo ukicheza nae usiishambulie cheza nayo kawaida..
nlisema umu baada ya wiki akapewa mkataba na mkulima akatoa sare nae ila kumfunga mkulima ni ngumu mno..
sisco kumfunga mkulima ni ngumu sisco anakushambulia tu na kukuvizia.
Sisco kwa sasa ni Beast wa draft TZ anamazoezi sanaaa kama kalipitie goli lake la tege kwa cr7 utaamini adi cr7 akashangaa.
namkubali mkulima ila bro game zaidi ya 1000 ufungwe 1 tuu atakukosea bahati mbaya?
Mkulima akiamua cr7 hatoboi hata mchezo mmojaNingekuwa na hela ningedhamini Gemu ya Ronaldo na mkulima irudiwe, sharti michezo 24, cr7 apate sare au ashinde basi fresh
Ningekuwa na hela ningedhamini Gemu ya Ronaldo na mkulima irudiwe, sharti michezo 24, cr7 apate sare au ashinde basi fresh
ndio maana hataki kujulikana kwa sababu anajua sanaakaka mm nlipitia game za mkulima karibhni zote asee kibinaadam kwel mtu huwezi kosea hata kidogo? game alizofungwa mkulima ni either muda au ameamua kuswitch side kwaiyo atajiloozisha.
amefungwa game moja tu kihalali katika loose zote zile unazoziona apart from akichezaga chineese,,tena iyo game kafungwa na david mbeya ukipata muda kama bado ipo kaipitie..
Ndio maana umu nlishawai sema huu mkataba wa sare akipewa cr7 na mkulima atabeba ela cr7,, kwasababu cr7 kule anajiita ashkelon na ndo alisema hii ni program.. kwaiyo ukicheza nae usiishambulie cheza nayo kawaida..
nlisema umu baada ya wiki akapewa mkataba na mkulima akatoa sare nae ila kumfunga mkulima ni ngumu mno..
sisco kumfunga mkulima ni ngumu sisco anakushambulia tu na kukuvizia.
Sisco kwa sasa ni Beast wa draft TZ anamazoezi sanaaa kama kalipitie goli lake la tege kwa cr7 utaamini adi cr7 akashangaa.
namkubali mkulima ila bro game zaidi ya 1000 ufungwe 1 tuu atakukosea bahati mbaya?
ahahah eti version mpyacr7 anatoa droo bro anamjua.. unless kama mkulima kaja na version mpya apo itakua balaa
ndio maana hataki kujulikana kwa sababu anajua sanaa
Program gani anatumia isiyofungwa na watu wote hao aliocheza nao
Nimekuwa nikifatilia gemu za mkulima, nimegundua mkulima hanaga copy, na harudiagi michezo, yani mfano leo akicheza aina hii ya kavimba kesho atacheza aina ingine kabisa ya kavimba, yani anaweza anza kete yoyote na kujibu kutumia kete yoyote, mkulima anaweka kete ambayo hujawahi chezewa, na ukikosea anakupiga na finishing kali, kina cr7 na sisco wanafungwa sababu wanapoteana, kina sisco wamekariri copy, sasa mkulima anaenda na mguu tofauti, ukijichanganya anakufunga, ukicheza vizuri mkulima anatoa sare ya nguvu basi fresh Ganja ni dawacr7 anatoa droo bro anamjua.. unless kama mkulima kaja na version mpya apo itakua balaa
Mimi huyo Msomali namfunga Huku nimefumba macho na hata sare hapati.Msomali anakuja Sana manyanya pale hata mechi na Sisco hawez omba Wala kupangiwa..sio uzani wake,,...huyo anahangaishana na kina Ally white wachezaji uzani flani wa katkat ao wa mabao
Nimekuwa nikifatilia gemu za mkulima, nimegundua mkulima hanaga copy, na harudiagi michezo, yani mfano leo akicheza aina hii ya kavimba kesho atacheza aina ingine kabisa ya kavimba, yani anaweza anza kete yoyote na kujibu kutumia kete yoyote, mkulima anaweka kete ambayo hujawahi chezewa, na ukikosea anakupiga na finishing kali, kina cr7 na sisco wanafungwa sababu wanapoteana, kina sisco wamekariri copy, sasa mkulima anaenda na mguu tofauti, ukijichanganya anakufunga, ukicheza vizuri mkulima anatoa sare ya nguvu basi fresh Ganja ni dawa
ilala yetu Darius RR Aaron Arsenal hivi mashindano ya draft kitaifa kwa mwaka huu ni lini?Msomali anakuja Sana manyanya pale hata mechi na Sisco hawez omba Wala kupangiwa..sio uzani wake,,...huyo anahangaishana na kina Ally white wachezaji uzani flani wa katkat ao wa mabao
Mwez wa nane huu kuna mashindano yanakuja ya kitaifa yatafanyika mbeya chunya..