DRAFT ONLINE: Sisco vs Mkulima

DRAFT ONLINE: Sisco vs Mkulima

uraibu wake ulikufanyaje
😀 Scars jana katoka home kaenda kijiweni kuangalia sare inapatikana vipi
kanikumbusha mbali sana 2003 na 2011,

nilifika hatua ya kutengeneza draft langu mwenyewe, na kucheza mwenyewe, nijue nakosea wapi pindi nikifungwa, nakariri kabisa zile moves zilizofanya nifungwe

narudi home nacheza na mimi mwenyewe kurudia moves zile zile nione nachoropoka vipi, na anticipate possible moves zote zijazo

kesho narudia naenda kurudiana na yule mpinzani , nilifanya ivyo mpaka nimkamate, na hiyo ni kwa wapinzani wengine tofauti tofauti

2004 naamka naenda vijiwe vya mbali, no kula no kuoga, narudi home usiku, fimbo hazikusaidia
kiufupi draft niliiipenda sana
 
😀 Scars jana katoka home kaenda kijiweni kuangalia sare inapatikana vipi
kanikumbusha mbali sana 2003 na 2011,

nilifika hatua ya kutengeneza draft langu mwenyewe, na kucheza mwenyewe, nijue nakosea wapi pindi nikifungwa, nakariri kabisa zile moves zilizofanya nifungwe

narudi home nacheza na mimi mwenyewe kurudia moves zile zile nione nachoropoka vipi, na anticipate possible moves zote zijazo

kesho narudia naenda kurudiana na yule mpinzani , nilifanya ivyo mpaka nimkamate, na hiyo ni kwa wapinzani wengine tofauti tofauti

2004 naamka naenda vijiwe vya mbali, no kula no kuoga, narudi home usiku, fimbo hazikusaidia
kiufupi draft niliiipenda sana
Kama nilivyosema Mkuu, draft mimi ndio mchezo wangu pendwa yani kama sichezi basi niwe naangalia mabingwa wanavyo kipiga

Nimeshuhudia mashindano ya draft mengi ila yale yanayokutanisha mabingwa sijabahatika

Niliwahi kumshuhudia marehemu mchafu akicheza na mzee mmoja wa mtaa ambaye alikuwa anaogopwa sana kwa kiwango chake

Juma mchafu yeye hakuwa na hela nyingi so mkataba ulikuwa ni kufungana kwa shilingi senti 50 tu

Walianza kucheza saa 10 jioni na ilipofika saa 4 sisi tukawaacha, asubuhi yake tukapata taarifa kuwa mchafu alikula 5,000

Yani imagine hamsini hamsini hadi zifike 5,000 ni michezo mingapi imechezwa
 
hahahahaha, so walikiwasha mpaka saa 10 alfajiri, possibly mpaka asubuhi
hahahaha noma sana
Niliambiwa mchafu ndio mchezaji ambaye anaongoza kwa kutoa mikataba migumu inayombana yeye

Kuna siku aliweka nguo zake rehani afu kwa mkataba wa sare tu, mwisho wa siku alivuliwa nguo

Kuna mwingine alimwambia mchafu kuwa ye awe anaanza michezo yote halafu akianza na kete ya major juma mchafu anatakiwa kuikata

Juma mchafu alimwambia jamaa azuie sare lakini mchafu alipasuka

Siku nyingine alikuja kwenye kijiwe kumbe hana nauli ya kurudi kwake akasema unganeni wote mnichangie kuzuia sare

Ila mtazidi dau mi naweka buku nyie wekeni buku 2

Watu wakajichanganya wakaweka, jamaa akaipitia buku 2 yao afu hata buku mfukoni aliyosema anayo kumbe hana. Akafanikiwa kupata nauli akasepa
 
😀 Scars jana katoka home kaenda kijiweni kuangalia sare inapatikana vipi
kanikumbusha mbali sana 2003 na 2011,

nilifika hatua ya kutengeneza draft langu mwenyewe, na kucheza mwenyewe, nijue nakosea wapi pindi nikifungwa, nakariri kabisa zile moves zilizofanya nifungwe

narudi home nacheza na mimi mwenyewe kurudia moves zile zile nione nachoropoka vipi, na anticipate possible moves zote zijazo

kesho narudia naenda kurudiana na yule mpinzani , nilifanya ivyo mpaka nimkamate, na hiyo ni kwa wapinzani wengine tofauti tofauti

2004 naamka naenda vijiwe vya mbali, no kula no kuoga, narudi home usiku, fimbo hazikusaidia
kiufupi draft niliiipenda sana
Ila sasa atleast hata online unacheza kama huna muda katika vijiwe ingawa halina ladha online kama vijiweni
 
kijiwe chake huyu wapi ? Kino ?
Huyo alifariki mwaka 2018

Alikuwa anavuta sigara sana halafu msosi hali

Alipata magonjwa kama mawili hivi halafu yote ya kutibiwa india

Alivyokufa manyanya wali host mashindano kwa ajili ya kumuenzi

Alikuwa ni mwanafunzi wa mangwerere, alikuwa na kisimu kidogo afu kibaya baya. Alikuwa anakitumia kupiga picha madraft ambayo ni controversial halafu akifika temeke anamuonesha mangwerere wanalipanga upya anapewa mbinu
 
Huyo alifariki mwaka 2018

Alikuwa anavuta sigara sana halafu msosi hali

Alipata magonjwa kama mawili hivi halafu yote ya kutibiwa india

Alivyokufa manyanya wali host mashindano kwa ajili ya kumuenzi

Alikuwa ni mwanafunzi wa mangwerere, alikuwa na kisimu kidogo afu kibaya baya. Alikuwa anakitumia kupiga picha madraft ambayo ni controversial halafu akifika temeke anamuonesha mangwerere wanalipanga upya anapewa mbinu
Kila ukipita manyanya unamkuta anakula kashata na kahawa ndo msosi wake apo tangu asubui aseee
 
controversial halafu akifika temeke anamuonesha mangwerere wanalipanga upya anapewa mbinu
huu mchezo nilikua naufanya, sema nilikua najichallenge mwenyewe, yaani mimi ndiyo mpinzani wangu, na drafti langu ( la box zile ngumu ) chumbani, sikutumia simu zaidi ya kukariri zile moves kule kijiweni, narudi home napanga, nadondosha moves zile zile
 
Kila ukipita manyanya unamkuta anakula kashata na kahawa ndo msosi wake apo tangu asubui aseee
Mwaka 2017 kuna siku alikuwa anacheza draft ghafla akaanza kutapika madude flani ya njano sijui alikula vitu gani

Watu wakawa wanamsema aache sigara maana ndio zinazomsababishia hayo matatizo lakini alikuwa anawapotezea anawaambia "nyie matula mtanishauri nini wakati hata bao hamjui"
 
kwa comment hii natumai una 'kijani' kule jamvini 😀
kete nyeupe zipo nyuma sana, na king nyeupe haipo meja
ili nyeupe ishinde kete tatu (kama anajua, natumai anajua maana ni bingwa) inabidi king yake iwe meja au kete iyo ya kati iwe karibia na kuvishwa crown ( bahati mbaya iko mbali )
nyeupe akitaka awahi meja na king, kete inaliwa, akiiacha meja, nyekundu anawahi meja
Umeelezea kiulaini sana..hiyo ngoma kwa matula kama mimi nawwe ni kamba..sijajua jamaa katokaje
 
Back
Top Bottom