brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Mziki wa Nigeria unaendelea kukua kwa Kasi Duniani Hulu wasanii wake wakiendelea kunufaika
Usiku wa Jana Drake akiwa London alimpandisha Wizkid nakumpa nafasi ya kupaform nyimbo zake kadhaa Kama Soco,Nowo pamoja na colabo Yao ya come closer.
Davido na miezi michache ijayo atapanda kwenye tamasha kubwa la Summer Jam akiwa na rapa mkali Card B.
Wasanii wetu was Bongo wanatakiwa kuongeza bidii kufika Hulu maana kwasasa Kama Kasi imepungua
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiku wa Jana Drake akiwa London alimpandisha Wizkid nakumpa nafasi ya kupaform nyimbo zake kadhaa Kama Soco,Nowo pamoja na colabo Yao ya come closer.
Davido na miezi michache ijayo atapanda kwenye tamasha kubwa la Summer Jam akiwa na rapa mkali Card B.
Wasanii wetu was Bongo wanatakiwa kuongeza bidii kufika Hulu maana kwasasa Kama Kasi imepungua
Sent using Jamii Forums mobile app