T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Mkuu hapa kama upo sahihi aisee kuna muda nasema Kendrick wanaomuelewa wanatumia kigezo gani mgumu jamaa😀Drake ana nyimbo nyepesi. Mfano God's Plan imejirudia sana maneno. Kendrick kazi zake zote ngumu kumeza, unasikiliza wimbo mara kumikumi bado hujaelewa anamaanisha nini hasa. Chukua sample ya Kendrick.
Loyalty
Poetic Justice
Backsteat Freestyle
Love
m.A.A.d City
Swimming Pools
Rigamortis
Yah kiasi namskilizaga.
Element
DNA
Alright
King Kunta
Hummble
All Stars naipata akiwa na SZASkiliza These walls,All the stars,Bitch don't kill ma vibe,
😂😂😂Mm piaMkuu hapa kama upo sahihi aisee kuna muda nasema Kendrick wanaomuelewa wanatumia kigezo gani mgumu jamaa😀
Acha kumfananisha Kendrick na vitu vya kijinga...Watu wa mziki tusaidiane kidogo labda mnaweza kunielewesha na nikaelewa zaidi.
Mara nyingi kila nikikutana na battle nani mkali kati ya Drake na Kendrick Lamar comment nyingi huwa zinakuwa kwa Kendrick Lamar.
Kwamba Kendrick Lamar ni zaidi ya Drake. Najiuliza how?
Kwa sababu namuona Drake anafanya vizuri zaidi akitoa Album zake zinasumbua sana kama Views,Scorpion n.k
Drake zile charts za Billboard anachezea kila akiachi ngoma zake.
Kwenye Spotify ndio kabisaa ngoma kama God Plan au One Dance zinazaidi ya Streaming bilion 1.6
Why Kendrick Lamar ni zaidi ya Drake? Au Drake hafanyi Hip Hop???
😀Acha kumfananisha Kendrick na vitu vya kijinga...
Kendrick mashairi yake yana logic zaidi ya drake..
Kendrick ni fundiiiiiii🎈🎈🎈🎊
Kwa huu mtazamo wako unaweza sema 6ix9ine ni bora zaidi kuliko J.Cole.Hv n kweli bidhaa isiyo na ubora inaweza uzika kuliko ile yenye ubora...?
inshort naona kendrik ni bora ila Drake ni zaidi
Kwa kiswahili nduguWho is better Drake or Kendrick Lamar?
Kendrick is by far the superior rapper. His lyricism is at least 200x better than Drake's. With the use of double entendres, metaphors, similes and subliminal messages, he puts Drake's lyrical ability to shame. Kendrick also just has more interesting music.
Mkuu nimegugo tu, mbona hata nyimbo zao wanaimba kizunguKwa kiswahili ndugu
Mziki feeling kaka😀Mkuu nimegugo tu, mbona hata nyimbo zao wanaimba kizungu
kwa kubwa lipi alilofanya huyo TekashKwa huu mtazamo wako unaweza sema 6ix9ine ni bora zaidi kuliko J.Cole.
kwa kitendo tu cha kuuliza hilo swali inaonesha jinsi gani dogo fan wa buble musickwa kubwa lipi alilofanya huyo Tekash