Drama mpya ya familia ya Diamond Platinumz.. Reflection ya family zetu

Hii ndio tabu ya ku-date vijana wadogo. Wakati wewe (mwanamke) unataka kutulia na kulea watoto, mwenzio (mwanaume) ndio kumekucha anataka kutumbua maisha. Dai ndio wakati wake wa kula ujana, simlaumu kwa hilo.

Kuhusu mama na wifi, hiyo inareflect uhalisia wa maisha ya TZ. Family nyingi zipo hivyo, na wanaume wengi hamtaki hata kusikia mama zenu wakikosolewa. Hapo Zari ataambiwa mvumilie tu huyo ni mama. Na uki-opt kugombana na mama ni kumuweka mume katika hali ngumu maana hataweza kumtetea yoyte kati yenu. Dawa ni wanaume kutokuishi under the same roof na mama zenu
 
Iyo familia walishazoea kumfanya mwenzao "asimama dede kila siku", kwani mzazi unapomlea na kumkuza mwanao ndo iwe deni sasa, akae mbanano tu na wewe kila siku, apo Chibu kashakuwa na family inabidi wayakubali tu hayo mabadiliko, Dai kaamua kuwa na Zari, hao wengine wanaomtafutia wataishia kuonjwa tu
 
Laana ya Zinaa itaitafuna hii familia labda kama mungu wao karuhusu uzinzi
Mama mzinzi na anashabikia
Kaka mzinzi
Dada mzinzi
Mke mzinzi
Watasambaratika hawa jamani
 
Yaani kabida inamfaa hiyo, maana na Petit inaelekea kajitambua na kuacha kubeba zile pochi...hakusapoti kabisa black tie
Sio kweli. Petit ni kama tai huwezi kumkuta pasipo na mzoga.kwa maneno mengine wanadai madam range kafulia so bata na matumizi ya kijinga kaacha.sasa Petit ni kupe.abaki kubeba pochi za wema bila mshahara kwani ndugu yake yule?unaambiwa black tie hakukua na ushost kila mtu aliambiwa anunue ticket so wale waliozoea vya bure hawakuzamia[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 


Unaandika kutetea kwa maneno ka vile unamwandikia asiyeyaona..duh!!!!!

Kweli kabisa eti kiingilio ndio iwe sababu???
Mbona kabla kulikuwa hakuna sapoti?... Wamemchoka wamemkimbia... Wamejitambua...

Madam kachacha, black tie wameingia hasara...ticket walishusha bei usiku huo ili wasibaki na makaratasi yao mkononi...bado haikuwa vileeeee...hadi tano sijui sita usiku wanasaka watu waje waingie ...siku ya mwisho aliomba hadi kusema atapokea yeye simu mtu akipiga kununua ticket...so lazima wajifunze kuwa celebs...kipindi chake cha kupeta kimeisha.. siku ingine afanye event ya bei ndogo fans wake wamjazie ukumbi na ticket wauze ndani ya madakika...
 
Mweeeh mheshumiwa Yohana Mapadlock mbona umekuja kwa kasi na kuziba kila mlango wa rizki[emoji24] [emoji24] [emoji24]
 
Mweeeh mheshumiwa Yohana Mapadlock mbona umekuja kwa kasi na kuziba kila mlango wa rizki[emoji24] [emoji24] [emoji24]

Nikucheke wewe ukweli unauma hata uniitaje...hii ndio JF. Eti naziba riziki unatia aibu kwa kuandika uliyoandika kaa hapo ulipo na bado
 
Nikucheke wewe ukweli unauma hata uniitaje...hii ndio JF. Eti naziba riziki unatia aibu kwa kuandika uliyoandika kaa hapo ulipo na bado
We nawe ka taahira flani amaizing, sasa ww ndo Yohana mapdlock? Kama huelewi uliza basi arggg ur disgust bana. Unazibaje rizik kwa mfano?
 
Nikucheke wewe ukweli unauma hata uniitaje...hii ndio JF. Eti naziba riziki unatia aibu kwa kuandika uliyoandika kaa hapo ulipo na bado
Afu wee boya nini khaaaa we ndo mheshmiwa Yohana Mapadlock??una uheshmiwa gani far -la wewe?usidandie visivyokuhusu na usitafute kiki coz hapa kwangu utaambulia makavu tu na matusi nipigwe ban.bloody kenge mmoja usiejielewa wewe
 
We nawe ka taahira flani amaizing, sasa ww ndo Yohana mapdlock? Kama huelewi uliza basi arggg ur disgust bana. Unazibaje rizik kwa mfano?
hahaaaa
And for the record hebu uliza who is My.Yohana Alcohol Ma-padlock cc Mzurimie
hahaaaa! majibu yenu kuhusu Yohanna Mapadlock, yamenifanya nicheke kweli. Kweli uwezo wa kupambanua mambo unatofautiana
 
mzurimie umeona povu la Esma insta? Na mama yake kapost sasa hivi anasema uzalendo kwanza, kaweka picha ya Wema . .. Kuolewa familia zingine ni majanga kwa kweli
Looh umbea huu mtamu, huyo mama mond nae yatamshinda kuingilia ndoa ya mwanae wakat yake ilimshinda, ila nyie zari kiboko, sijui anampaga nn mond, yan baba ubaya kafa kaoza pale loh kwel zari kiboko ya mond
 
mi mwenyew nashangaa,leo wema kama mzuri kama sio kujishaua nn, huyo bibi kwwnza atafute mume aolewe amuache domo wa watu na zari wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…