Drama mpya ya familia ya Diamond Platinumz.. Reflection ya family zetu

Drama mpya ya familia ya Diamond Platinumz.. Reflection ya family zetu

Tunda hata siku moja alianguki mbali na mti wake labda itokee tu ndege kaiba hilo tunda na kwenda kulitupa kwingine. Anayofanya Diamond na dada zake chanzo ni Mama yao. Yule Mama anaelekea alivyokuwa kijana alikuwa hajitambui na ndiyo maana baba halali wa watoto wake hawajulikani kwani kila mwanaume wa hajabu anadai fulani mimi ndiye baba yake halali. Kwa kweli nasikitisha sana.
 
Domo anajivunjia heshima......ka Esma kenyewe kalipigwa talaka na sasa anaishi kwa uchungu wa kuachika, eti anamkuwadia Kaka yake (kama ni kweli) mashangingi. Yaani dada kaiga tabia za Mama na kaka hivyo hivyo. Kweli asili haipotei. Hongera Domo na familia yako.
 
Zari ni kiboko yao, wanaweweseka haswaaaa...walipo nae kachangia wakafika wanajisahau wanataka nao wawe level moja na anayempasha joto mwanae/mdogo...hawajui kuna mipaka sasa wataitambua...waache waachane wao kama imepangwa iwe hivyo.

Ila nahamu Zari arushe maneno yake masaa yoteeeee....ndio raha ya kutoka na mwanamke ambaye ameshaonja mahusiano na hata maisha ya kindoa...angekuwa na akina .com mbona tungeona .com kashabeba mwanaume mwingine kuringishia hao wadaku....

Go Zari, Go Zari....

Mbona nimeingia kwa kchwapanzii,naona wimbo mpya wa dai,hamisa ni video qeen?!!

Hebu kacheki!
 
Mbona nimeingia kwa kchwapanzii,naona wimbo mpya wa dai,hamisa ni video qeen?!!

Hebu kacheki!

Wapi hapo ulipokwoti nimemuongelea huyo hamiswaaa??? Hiyo ndio umeiona leo??? Ilishazunguka tanguuuu... Unafikiri sijui drama laoooo au hata nini...mie nipo busy na hao washampepe wasionashukurani ustaaa wa D wanajisahau...mama mtu na dadake. Nasema tena Zari kiboko yao... Waliraka kumrusha roho atimke wameshushukaaaaaaaaa aibu
 
Huyo dem Zari nae kuingia hapo alikaza moyo,
Kamama ka mwendokasi kutembelea nyota ya kijana watakua vijana tandale wanapakua bando la tigo tu.
Ndomo kashindwa kuishi classy ndio maana hawa ndembe ndembe wanampelekesha
 
Full drama.hii familia looh inataka kunishinda.Zari ilikuaje ukatoka hukooo kuja kuangukia kwa hawa watu?kila mwanamke analalamika kushindwa kuishi na hiyo familia juu ya visa na vituko vya mama na mwanae.solution huyo mama mkwe na wifi mtu si wawapishe hao kina Dee na Zee wao wakaishi kwao?Mond ana mijumba mingapi buanaaaa?
Ana nyumba nyingi? [emoji3] [emoji23] [emoji23] anashindwa tenga nyumba moja kwa ajili ya mama!
 
wapumbavu wote !!MTU km zari Mwenye watoto watano upumbavu anaoufanya na kuna mijitu eti inamfagilia yaaani mi nasema km ule ndo umaarufu'naomba niendelee kua mchimba chumvi'jtu Lina mitoto minne bado linajidhalilisha vile mxxxxxiuuuuu!!
Mungu nusuru kizazi changu!!
Nimeangalia ile video ya bafuni na domo yule Dada hajielewi sasa hapo familia itakupendaje MTU mzima hujiheshimu, ukute huyu hata mbele ya mkwewe anayafanya hayo ndo mana wanachukia Hana aibu kabisa
 
Back
Top Bottom