Drama ya Dkt. Gwajima dhidi ya Pst. Gwajima ni mkakati wa CCM kunyamazisha sakata la Mbowe na katiba Mpya

Drama ya Dkt. Gwajima dhidi ya Pst. Gwajima ni mkakati wa CCM kunyamazisha sakata la Mbowe na katiba Mpya

mshale21

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
2,126
Reaction score
5,068
Habarini wanabodi JF!

Nikionacho Mimi, Hii drama ya mtu na shemeji yake Ni mbinu ya CCM kuwapoteza CHADEMA na wafuasi wake kuhusu sakata la Mbowe na Katiba Mpya!

Ikumbukwe kuwa baada tu ya kushikiliwa kwa M/kiti wa CHADEMA. Mh. Mbowe, ndoto ya sakata la Katiba Mpya ikafia hapo, nguvu zote zikaelekezwa katika namna ya kumnasua Mbowe katika kesi ya Ugaidi inayomkabili!

Wakati hayo yakiendelea, huku wanaharakati na watetezi wa haki za Binadamu wakielezea masikitiko yao juu ya mwenendo wa kesi ya M/kiti Mbowe huku wakipaza sauti kuwa Haki itendeke kwa m/kiti huyo, ghafla linatokea sakata la Dr. Gwajima VS Pst. Gwajima !

Sakata hili limeonekana kuzua gumzo nchini, huku likiteka fikra za Wafuasi , wanachama na Viongozi wa CHADEMA , ambao Sasa wamejisahau kuwa Kuna suala la Katiba Mpya na kesi ya m/kiti wao bila kujua Ni mtego uliotegwa nao wamenasa katika mtego huo!

Umewahi kuona ugomvi wa mtu na shemeji yake katika maswala yaliyo nje ya mambo ya kifamilia?

Umewahi kujiuliza chama kinampa onyo mwanachama wake lakini bado anakaidi maelekezo?

Katika maswali hayo Kuna uwalakini!
Muda ni Msema kweli, mtaurejea uzi huu!

Wito Wangu!
CHADEMA Kama kweli mmeamua kudai katiba mpya, fanyeni hivyo.
Na Kama kweli mmeamua kumtetea m/kiti wenu fanyeni hivyo pia!

Tofauti na hapo, mtademshwa na upepo wa matukio ya kisiasa mtakuja kukumbuka , saa mbovu,!!
 
Ww utakua unahisi hata kivuli chako kinataka kukuvamia...yani waziri mwenye dhamana aache michanjo ya msaada ikae ioze nchi ikose mikopo kisa wa sakata la Mbowe[emoji38][emoji38]
ukichanja unapata mkopo[emoji849][emoji849]
 
SIO KWELI BASI WATAKUWA WAPUMBAVU KWERII KWERII.

GWAJIBOY ANAMWAGA SUMU ZA HATARI MFANO

-BAADA YA MAGUFULI KUFA...
-WAMEKULA HELA ZA WAZUNGU ILI WAWADUNGE CHANJO
-CHANJO NI FEKI
-MTAKUWA MAZOMBIEEE
-MNAWEKEWA CHIP
-SIOGOPI KUFUKUZWA
 
SIO KWELI BASI WATAKUWA WAPUMBAVU KWERII KWERII.

GWAJIBOY ANAMWAGA SUMU ZA HATARI MFANO

-BAADA YA MAGUFULI KUFA...
-WAMEKULA HELA ZA WAZUNGU ILI WAWADUNGE CHANJO
-CHANJO NI FEKI
-MTAKUWA MAZOMBIEEE
-MNAWEKEWA CHIP
-SIOGOPI KUFUKUZWA
Hizo sumu anazomwaga Gwajima zitakuathiri? Kama zitakuathiri, itoshe tu kusema kuwa una akili mdogo sana.
 
Hizo sumu anazomwaga Gwajima zitakuathiri? Kama zitakuathiri, itoshe tu kusema kuwa una akili mdogo sana.
MTETEE MSUKUMA MWENZIO ILA KWA KIFUPI KAVUKA MPAKA.
WIKI HII ANAKWENDA CENTRAL KUMINYWA MAKENDE ASEME UKWELI HIZO CHANJO FEKI ZIPO WAPI, HAO WAILOHONGWA ALIWAONA?

POLE KWA KUWA NA ASKOFU TAPELI NA MCHEZA PORNO.
 
Habarini wanabodi JF!

Nikionacho Mimi, Hii drama ya mtu na shemeji yake Ni mbinu ya CCM kuwapoteza CHADEMA na wafuasi wake kuhusu sakata la Mbowe na Katiba Mpya!

Ikumbukwe kuwa baada TU ya kushikiliwa kwa M/kiti wa CHADEMA. Mh. Mbowe, ndoto ya sakata la Katiba Mpya ikafia hapo, nguvu zote zikaelekezwa katika namna ya kumnasua Mbowe katika kesi ya Ugaidi inayomkabili!

Wakati hayo yakiendelea, huku wanaharakati na watetezi wa haki za Binadamu wakielezea masikitiko yao juu ya mwenendo wa kesi ya M/kiti Mbowe huku wakipaza sauti kuwa Haki itendeke kwa m/kiti huyo, ghafla linatokea sakata la Dr. Gwajima VS Pst. Gwajima !

Sakata hili limeonekana kuzua gumzo nchini, huku likiteka fikra za Wafuasi , wanachama na Viongozi wa CHADEMA , ambao Sasa wamejisahau kuwa Kuna suala la Katiba Mpya na kesi ya m/kiti wao bila kujua Ni mtego uliotegwa nao wamenasa katika mtego huo!

Umewahi kuona ugomvi wa mtu na shemeji yake katika maswala yaliyo nje ya mambo ya kifamilia?

Umewahi kujiuliza chama kinampa onyo mwanachama wake lakini bado anakaidi maelekezo?

Katika maswali hayo Kuna uwalakini!
Muda Ni Msema kweli, mtaurejea uzi huu!

Wito Wangu!
CHADEMA Kama kweli mmeamua kudai katiba mpya, fanyeni hivyo.
Na Kama kweli mmeamua kumtetea m/kiti wenu fanyeni hivyo pia!

Tofauti na hapo, mtademshwa na upepo wa matukio ya kisiasa mtakuja kukumbuka , saa mbovu,!!
Hili ni igizo Kama like la baba Chupaku.
Gwajima amefanya kosa gani kisheria? Au wanataka kumfananusha na Yeah?
Kama kosa like halina mashiko kisheria, je wanamkamata ili iweje?

Hebu wasitutoe kwenye reli, Tunataka KATIBA MPYA
 
MTETEE MSUKUMA MWENZIO ILA KWA KIFUPI KAVUKA MPAKA.
WIKI HII ANAKWENDA CENTRAL KUMINYWA MAKENDE ASEME UKWELI HIZO CHANJO FEKI ZIPO WAPI, HAO WAILOHONGWA ALIWAONA?

POLE KWA KUWA NA ASKOFU TAPELI NA MCHEZA PORNO.
Gwajima kavunja sheria ipi? Nina mashaka wewe utakuwa ni Stive Nyerere.
 
MTETEE MSUKUMA MWENZIO ILA KWA KIFUPI KAVUKA MPAKA.
WIKI HII ANAKWENDA CENTRAL KUMINYWA MAKENDE ASEME UKWELI HIZO CHANJO FEKI ZIPO WAPI, HAO WAILOHONGWA ALIWAONA?

POLE KWA KUWA NA ASKOFU TAPELI NA MCHEZA PORNO.
Mkuu we ni mwanamke wa pwan au mwanaume........nijibu tafadhari
 
Wakati mwingine 1+1 =2, tusitake kuwa smart sanaaaa.
 
Nawaambia tena achaneni na ngonjera za chanjo ni strategy ya kuondoa mjadala wa KATIBA MPYA na Mkti Mbowe kubambikiwa kesi. Turudi kwenye mambo ya msingi na tusiwe kama maboya.Mkiamka wote Tanzania tweet Freeman Mbowe sio gaidi.#KatibaMpyaMovement #FreemanMboweSiyoGaidi
Tusikubali_kutolewa_kwenye_mijadala_muhimu_Kama_huu_tulionao.._#katibampya_%0A#mbowesiogaidi.jpg
 
Back
Top Bottom