Drama ya Dkt. Gwajima dhidi ya Pst. Gwajima ni mkakati wa CCM kunyamazisha sakata la Mbowe na katiba Mpya

Drama ya Dkt. Gwajima dhidi ya Pst. Gwajima ni mkakati wa CCM kunyamazisha sakata la Mbowe na katiba Mpya

Ndio maana jamaa yenu kigogo kawashtukia,

Kwa hiyo yeye lema anafanyaje ili msitolewe kwenye mjadala wenu wa katiba?

Taliban hawakuwa na hashtag wala space ya maria ila wamwfanikiwa kwenye malengo yao.

Zambia wapinzani wameshinda bila katiba mpya,

Machadema mnafeli wapi?
 
Ndio maana jamaa yenu kigogo kawashtukia,

Kwa hiyo yeye lema anafanyaje ili msitolewe kwenye mjadala wenu wa katiba?

Taliban hawakuwa na hashtag wala space ya maria ila wamwfanikiwa kwenye malengo yao.

Zambia wapinzani wameshinda bila katiba mpya,

Machadema mnafeli wapi?
Naona wao ni kiteknolojia zaidi -- wanastruggolia mtandaoni
 
Ndio maana jamaa yenu kigogo kawashtukia,

Kwa hiyo yeye lema anafanyaje ili msitolewe kwenye mjadala wenu wa katiba?

Taliban hawakuwa na hashtag wala space ya maria ila wamwfanikiwa kwenye malengo yao.

Zambia wapinzani wameshinda bila katiba mpya,

Machadema mnafeli wapi?
CHADEMA wanafeli kwenye ubongo: hawana akili!
 
Ndio maana jamaa yenu kigogo kawashtukia,

Kwa hiyo yeye lema anafanyaje ili msitolewe kwenye mjadala wenu wa katiba?

Taliban hawakuwa na hashtag wala space ya maria ila wamwfanikiwa kwenye malengo yao.

Zambia wapinzani wameshinda bila katiba mpya,

Machadema mnafeli wapi?
Chadema haifanyi mambo yake kwa sababu ya watu fulani tu , hii ni taasisi kubwa mno !
 
Hivi wewe una akili kiasi gani kwa mfano?

Hebu solve hili swali la hesabu we kamanda wa mtandaoni:

What is the size of the angle between the two lines 3x-2y+1=0 and x-3y=0 (answer in degrees and minutes).
Huna hoja ! hivi shule uliyosoma haikuwa na mwl wa hesabu ? mbona bado anafundisha tu , kwani yeye hataki uwaziri ?
 
Ndio maana jamaa yenu kigogo kawashtukia,

Kwa hiyo yeye lema anafanyaje ili msitolewe kwenye mjadala wenu wa katiba?

Taliban hawakuwa na hashtag wala space ya maria ila wamwfanikiwa kwenye malengo yao.

Zambia wapinzani wameshinda bila katiba mpya,

Machadema mnafeli wapi?
Zambia waliandika katiba yao mwaka 1964 baadae mwaka 1991 wakati wanapokea vyama vingi waliandika katiba mpya tena ambayo ilikuwa katiba Bora sana kabla ya katiba ya katiba ya kenya.

Katiba hiyo hiyo ya Zambia ndiyo iliyomwezesha Fredrik Chiluba kumng'oa Kaunda madarakani na yeye Chiluba kungolewa na Mwanawasa.

Usichokijua ni kwamba political maturity na political civilisation ni kubwa sana Zambia ukilinganisha na chama tawala kinachoogopa hata Tshirt za katiba mpya kanisani tu.
 
Zambia waliandika katiba yao mwaka 1964 baadae mwaka 1991 wakati wanapokea vyama vingi waliandika katiba mpya tena ambayo ilikuwa katiba Bora sana kabla ya katiba ya katiba ya kenya...
Lakini wameuza nchi yao kwa Mchina, stupid and fool can .
 
Back
Top Bottom