Drama ya Mapenzi: Kaka Anayekopesha kwa Riba na Tamaa za mke mchepukaji zasababisha ndoa kuvunjika na mauti

Drama ya Mapenzi: Kaka Anayekopesha kwa Riba na Tamaa za mke mchepukaji zasababisha ndoa kuvunjika na mauti

Kuna ukweli kuhusu hii stori?

Tokea lini mtu akopeshe kwa riba bila idhini ya serikali?

Ndoa si kitu kibaya , ni nzuri sana katika kuanzisha family unit yenye watoto wenye maadili. Shida ni pale mwanaume unamuoa mwanamke ambaye ni Bed to Bed midfielder bila kuangalia historia yake na wala bila kuchunguza body language au mambo anayofanya.
Stori ni ya vijiweni, ya kutunga.

Kwa sababu kukopesha kwa riba halafu uchukue nyumba ya mtu sio jambo linalowezana unless uwe licensed kutoa mikopo.

Kwanza ukopeshaji nje ya mifumo ya kifedha hauruhusiwi, hapo hakuna kesi.

Hii ni hadithi za kutunga tu za vijiweni.
 
Back
Top Bottom