Nne inanihusu!Seat namba tatu, nafuatilia kwa karibu sana.
Unaikumbuka rivers united?KILA LA HERI KWA TIMU ITAKAYOKUTANA NA ''WACHANGISHAJI FEDHA ZA UWANJA FC''
HAPANAUnaikumbuka rivers united?
Wakati draw hii inafanyika , Yanga wako kwenye maandalizi mazito ya kombe lao la kimataifa (Mapinduzi cup)Wapenzi na mashabiki wa Simba leo wanasubiri kwa hamu kujua Simba kukutana na timu zipi hatua ya makundi Kombe la shirikisho Africa.
Majibu yatapatikana kuanzia saa nane mchana.
Utopolo hawamoKILA LA HERI KWA TIMU ITAKAYOKUTANA NA ''WACHANGISHAJI FEDHA ZA UWANJA FC''
Dah mwakani wajipange hizi ni aibuWakati draw hii inafanyika , Yanga wako kwenye maandalizi mazito ya kombe lao la kimataifa (Mapinduzi cup)
Nini!!,,tulia sasa mshaanza uchawi.Bora ipangwe ili hao watalii waende kukamilisha ratiba
TayariWanaotaka kuangalia live ingieni YouTube andika "CAF draw today " wanaendelea live