Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Wapenzi na mashabiki wa Simba leo wanasubiri kwa hamu kujua Simba kukutana na timu zipi hatua ya makundi Kombe la shirikisho Africa.
Majibu yatapatikana kuanzia saa nane mchana.
Wanaotaka kufuatilia live YouTube andika
"CAF DRAW TODAY " wanaendelea mubashara
Updates hii ndo kundi Simba imepangwaView attachment 2060540
Majibu yatapatikana kuanzia saa nane mchana.
Wanaotaka kufuatilia live YouTube andika
"CAF DRAW TODAY " wanaendelea mubashara
Updates hii ndo kundi Simba imepangwaView attachment 2060540