Tuzo ya uvumilivu,kuishi na zimwi nyumba moja kitanda kimoja kwa miaka zaidi ya 30 si mchezo.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Doh!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuzo ya uvumilivu,kuishi na zimwi nyumba moja kitanda kimoja kwa miaka zaidi ya 30 si mchezo.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Doh!
Nenda Kampe wewe inatoshaAngepewa mume wa mama yetu kipenzi aliyeleta amani,utulivu na utengamano baada ya vita mbaya yachinichini ambapo watu walifungwa,waliporwa pesa na biashara,walitekwa,walipigwa risasi walitoroka nchi,walikandamizwa kuongea,walilalamika vyuma vimekaza,walibaguliwa kimiradi yamaendeleo, walitishwa wasipomchagua yeye na awatakae atawanyima maendeleo nk. nk.
simply the guy was not a leader, CCM wanatakiwa kuwaomba watanzania msamaha.Yule jamaa angekuwepo sahivi tungekua tumebaki mifupa
Unaleta mzaha, Nobel hakupata Nyerere ndio sembuse huyu Ibilisi?Nilijua ya Mo Ibrahim au Nobel kumbe ya TISHEKEDI.
Hakutakiwa kupewa nafasi kubwa vile, alipaswa kubaki chini ya mtu....ila Mungu ni mwema kwakweli tulitesekasimply the guy was not a leader, CCM wanatakiwa kuwaomba watanzania msamaha.
RubbishTuzo ya uvumilivu,kuishi na zimwi nyumba moja kitanda kimoja kwa miaka zaidi ya 30 si mchezo.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Niunganishe kwenye malipo na mimi nimtukane JPMUnaleta mzaha, Nobel hakupata Nyerere ndio sembuse huyu Ibilisi?
Huyu hata kufikiriwa tu kwenye short list hawezi kuwepo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niunganishe kwenye malipo na mimi nimtukane JPM
So what? Tuzo ya vichochoroni hizo ingekua Mo Ibrahim au Nobel tungeshtukaKeshapewa tayari, na watanzania 100% bado wanaomboleza na wana mlilia
Watu walimkosoa tokea akiwa hai ndio sembuse sahivi mseme wamelipwa? Ina maana utawalipa watu zaidi ya million 20?Niunganishe kwenye malipo na mimi nimtukane JPM
Nkampe mamako kwanzaNenda Kampe wewe inatosha
Keshapewa tayari, na watanzania 100% bado wanaomboleza na wana mlilia
Ewe mnafiki econonist, sisi kama chawa tunawachukia sana washenzi ka wewe wanaobadilika ka kinyonga. Tuna uhakika vipusa ka nyie Rais Dkt Samia akiondoka na kuja mwingine mtabadilika hivyo hivyo. Hebu fungeni midomo yenu, jemedari Dkt Magufuli alishapumzika na tutaendelea kumuenzi kama moja ya wazalendo wa nchi hii.Asilimia 100 unaijua?. Tuache uongo. Yule ibilisi alipendwa kinafiki na kiuoga.
[emoji304]Inawezekana ila mwanamke mwenzako amepata tuzo