DRC: Mama Janeth Magufuli atunukiwa tuzo ya heshima ya M.T. Kasalu

Kimsingi kongo hawaijui amani wala maendeleo ya kweli ama kiongozi makini...wamepigana na kuuana mmno na kwa miaka mingi.
Tuwaombee
 
Nenda Kampe wewe inatosha
 
Asilimia 100 unaijua?. Tuache uongo. Yule ibilisi alipendwa kinafiki na kiuoga.
Ewe mnafiki econonist, sisi kama chawa tunawachukia sana washenzi ka wewe wanaobadilika ka kinyonga. Tuna uhakika vipusa ka nyie Rais Dkt Samia akiondoka na kuja mwingine mtabadilika hivyo hivyo. Hebu fungeni midomo yenu, jemedari Dkt Magufuli alishapumzika na tutaendelea kumuenzi kama moja ya wazalendo wa nchi hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…