DRC: Mlima Nyiragongo wa huko Goma waalipuka Volcano

DRC: Mlima Nyiragongo wa huko Goma waalipuka Volcano

Wakazi wengi wa mji wa Goma nchini Congo wanakimbilia nchini Rwanda katika mji wa Gisenyi kujiokoa na mlipuko wa volcano inayolipuka muda huu katika mlima Nyiragongo.

Chanzo ni mimi mwenyewe nipo hapa Gisenyi.View attachment 1794379
Ni hatari sana, vipi hizo nyumba karibu na mlima hazijaathirika kweli!
 
Wakazi wengi wa mji wa Goma nchini Congo wanakimbilia nchini Rwanda katika mji wa Gisenyi kujiokoa na mlipuko wa volcano inayolipuka muda huu katika mlima Nyiragongo.

Chanzo ni mimi mwenyewe nipo hapa Gisenyi.

=====

FACT: More than 3,500 DR Congo nationals have crossed to Rubavu, Rwanda seeking refuge after the volcanic eruption of Mt. Nyiragongo in Goma, DRC.

The 3,000m high volcano erupted in 1977, killing over 600 people.

It erupted again in 2002, killing 250 people, displacing 1000s.
View attachment 1794558View attachment 1794559
View attachment 1794379View attachment 1794381View attachment 1794553View attachment 1794554View attachment 1794555

View attachment 1794556
View attachment 1794557
1621730245508.png
 
Kuna ile ya Oldonyolengai ililipuka mwaka 2007 kama sijakosea sana
Ni kweli ililipuka,uzuri Wa oldonyo ikilipuka inarusha ile ash juu inapelekwa mbali na upepo madhara sio makubwa kwa wakazi Wa pale,labda lile joto kali,kila baada ya miaka kumi na sita kama sijakosea hua oldonyo inalipuka.
 
Ni kweli ililipuka,uzuri Wa oldonyo ikilipuka inarusha ile ash juu inapelekwa mbali na upepo madhara sio makubwa kwa wakazi Wa pale,labda lile joto kali,kila baada ya miaka kumi na sita kama sijakosea hua oldonyo inalipuka.
Asante Mkuu kwa kuniwekea habari sawa
 
Tunashukuru wapo watu kule Goma ambao wanasoma JF na wametuletea hizi habari.
Volcano ilipolipuka last time nilikwenda Goma muda mrefu sana baada ya tukio. Nikapelekwa kwenye eneo la Goma lililiothirika.
Nikaambiwa,"Tazama uharibifu uliofanywa na volcano."
Nikasema,"Ndiyo,naona,uharibifu mkubwa. Just a minute! Hili joto ninalohisi sasa hivi ni joto la volcano?"
Nikaambiwa volcano haijapoa mpaka leo.
Kwa hiyo volcano imelipuka tena. It is a joke kwamba wanasema kwamba wanapata adha ya kwenda Gisenyl,Ruanda. Hiyo Gisenyi is only half a kilometer or one kilometer from Goma.
Ile lava Ikishapoa inakuwa mawe,ambayo labda yanatumika kwa ujenzi baadaye.
 
Du!! Kuzimu inapumua!!! Niwakumbushe kumwamini Yesu, Nyumbani kwetu ni mbinguni. Ukitaka kufikambinguni mwaminj Yesu awe Bwana na mwokozi wa maisha yako!! Ukitaka jehamamu ikuhusu wewe jifanye kana kwamba Mungu hakuhusu halafu ukifa unapokelewa kuzimu kama rumande kabla ya kutupwa jehamamu katika hukumu ya mwisho. Lakini Yesu anakupenda anataka akuokoe. Tubu dhambi zako na mkaribishe Yesu moyoni mwako awe Bwana na mwokozi wako sasa
Walokole vichwa vyenu vimejaa utumbo wa samaki.

Yani mmekaa kichaw chawi tu
 
Aisee
 
Isije kuwa kama pompei, mji mzima ulifukiwa
 
Back
Top Bottom