DRC: Mlima Nyiragongo wa huko Goma waalipuka Volcano

DRC: Mlima Nyiragongo wa huko Goma waalipuka Volcano

Hii nchi ya Congo mbona ina misala mingi hivi asee[emoji22]

Mara mirindimo ya marisasi kila kona, mara volcano, mara njaa...inabidi wafunge na kusali mwaka mzima[emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Duh watu wa Congo sijui lini wataishi kwa amani katika nchi yao, mara Volcano, Ebola, vita, nk , Mungu awasaidie kwakweli πŸ€”
 
Wakazi wengi wa mji wa Goma nchini Congo wanakimbilia nchini Rwanda katika mji wa Gisenyi kujiokoa na mlipuko wa volcano inayolipuka muda huu katika mlima Nyiragongo.

Chanzo ni mimi mwenyewe nipo hapa Gisenyi.

=====

FACT: More than 3,500 DR Congo nationals have crossed to Rubavu, Rwanda seeking refuge after the volcanic eruption of Mt. Nyiragongo in Goma, DRC.

The 3,000m high volcano erupted in 1977, killing over 600 people.

It erupted again in 2002, killing 250 people, displacing 1000s.
View attachment 1794558View attachment 1794559
View attachment 1794379View attachment 1794381View attachment 1794553View attachment 1794554View attachment 1794555

View attachment 1794556
View attachment 1794557
Vipi waasi wamesalimika!!? Huko milimani ndo chimbo zao.
 
Safi sana, inapendeza...

Hapo Ardhi yao itakua na rutuba sana...
Kingine mlima wao unazidi kuongezeka ukubwa (Urefu)
 
Tunashukuru wapo watu kule Goma ambao wanasoma JF na wametuletea hizi habari.
Volcano ilipolipuka last time nilikwenda Goma muda mrefu sana baada ya tukio. Nikapelekwa kwenye eneo la Goma lililiothirika.
Nikaambiwa,"Tazama uharibifu uliofanywa na volcano."
Nikasema,"Ndiyo,naona,uharibifu mkubwa. Just a minute! Hili joto ninalohisi sasa hivi ni joto la volcano?"
Nikaambiwa volcano haijapoa mpaka leo.
Kwa hiyo volcano imelipuka tena. It is a joke kwamba wanasema kwamba wanapata adha ya kwenda Gisenyl,Ruanda. Hiyo Gisenyi is only half a kilometer or one kilometer from Goma.
Ile lava Ikishapoa inakuwa mawe,ambayo labda yanatumika kwa ujenzi baadaye.
Acha uongo kutoka Goma mpaka Gisenyi pana umbali usiongopee watu
 
Acha uongo kutoka Goma mpaka Gisenyi pana umbali usiongopee watu
Sema umbali wake.
Watu wanatoka Goma,lunch break,wanakwenda Gisenyi, halafu wanarudi Goma.
Wanakwenda kwa miguu. Wana stroll.
Google inasema umbali ni 8 km Goma-Gisenyi.
 
Mungu uwape utulivu hawa raia wa Congo maana kama ni Changamoto wanazipata.
 
Back
Top Bottom