Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Ngoja Waje Wale Jamaa ππ πππππSipati picha moshi siku Mlima Kilimanjaro ucharuke na wenyewe.
Watakwambia Shindwa Shindwa Na Ulegee π£π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja Waje Wale Jamaa ππ πππππSipati picha moshi siku Mlima Kilimanjaro ucharuke na wenyewe.
Ila Goma sijui wana nini yaan, kila dhahama wao tyuuh. MmmhInatisha sana aisee mji ndiyo unateketea wengi hawataweza kurudi. Ukisikia motoni basi huku ndiyo motoni.
Yaaan wewe[emoji1745][emoji1745]Hakika mkuu,ni kama uncle magu afufuke Leo.
Vipi waasi wamesalimika!!? Huko milimani ndo chimbo zao.Wakazi wengi wa mji wa Goma nchini Congo wanakimbilia nchini Rwanda katika mji wa Gisenyi kujiokoa na mlipuko wa volcano inayolipuka muda huu katika mlima Nyiragongo.
Chanzo ni mimi mwenyewe nipo hapa Gisenyi.
=====
FACT: More than 3,500 DR Congo nationals have crossed to Rubavu, Rwanda seeking refuge after the volcanic eruption of Mt. Nyiragongo in Goma, DRC.
The 3,000m high volcano erupted in 1977, killing over 600 people.
It erupted again in 2002, killing 250 people, displacing 1000s.
View attachment 1794558View attachment 1794559
View attachment 1794379View attachment 1794381View attachment 1794553View attachment 1794554View attachment 1794555
View attachment 1794556
View attachment 1794557
Acha uongo kutoka Goma mpaka Gisenyi pana umbali usiongopee watuTunashukuru wapo watu kule Goma ambao wanasoma JF na wametuletea hizi habari.
Volcano ilipolipuka last time nilikwenda Goma muda mrefu sana baada ya tukio. Nikapelekwa kwenye eneo la Goma lililiothirika.
Nikaambiwa,"Tazama uharibifu uliofanywa na volcano."
Nikasema,"Ndiyo,naona,uharibifu mkubwa. Just a minute! Hili joto ninalohisi sasa hivi ni joto la volcano?"
Nikaambiwa volcano haijapoa mpaka leo.
Kwa hiyo volcano imelipuka tena. It is a joke kwamba wanasema kwamba wanapata adha ya kwenda Gisenyl,Ruanda. Hiyo Gisenyi is only half a kilometer or one kilometer from Goma.
Ile lava Ikishapoa inakuwa mawe,ambayo labda yanatumika kwa ujenzi baadaye.
Sema umbali wake.Acha uongo kutoka Goma mpaka Gisenyi pana umbali usiongopee watu
Daaah shida nn hkoDah! Hawa wenzetu DRC hasa Goma sijui ni lini watakaa watulie!
Goma's volcano eruption!
Lava ikipoa inakuwa mawe mgumu. Kama yale mawe yanatumika kujenga nyumba sijui.Daaah hv so huwa linaklabauwa na madini hyo zaga ikipoa