Ni hatari sana, vipi hizo nyumba karibu na mlima hazijaathirika kweli!Wakazi wengi wa mji wa Goma nchini Congo wanakimbilia nchini Rwanda katika mji wa Gisenyi kujiokoa na mlipuko wa volcano inayolipuka muda huu katika mlima Nyiragongo.
Chanzo ni mimi mwenyewe nipo hapa Gisenyi.View attachment 1794379
Kuna ile ya Oldonyolengai ililipuka mwaka 2007 kama sijakosea sanaKili ni volcano mfu mkuu.
Wakazi wengi wa mji wa Goma nchini Congo wanakimbilia nchini Rwanda katika mji wa Gisenyi kujiokoa na mlipuko wa volcano inayolipuka muda huu katika mlima Nyiragongo.
Chanzo ni mimi mwenyewe nipo hapa Gisenyi.
=====
FACT: More than 3,500 DR Congo nationals have crossed to Rubavu, Rwanda seeking refuge after the volcanic eruption of Mt. Nyiragongo in Goma, DRC.
The 3,000m high volcano erupted in 1977, killing over 600 people.
It erupted again in 2002, killing 250 people, displacing 1000s.
View attachment 1794558View attachment 1794559
View attachment 1794379View attachment 1794381View attachment 1794553View attachment 1794554View attachment 1794555
View attachment 1794556
View attachment 1794557
Ni kweli ililipuka,uzuri Wa oldonyo ikilipuka inarusha ile ash juu inapelekwa mbali na upepo madhara sio makubwa kwa wakazi Wa pale,labda lile joto kali,kila baada ya miaka kumi na sita kama sijakosea hua oldonyo inalipuka.Kuna ile ya Oldonyolengai ililipuka mwaka 2007 kama sijakosea sana
Asante Mkuu kwa kuniwekea habari sawaNi kweli ililipuka,uzuri Wa oldonyo ikilipuka inarusha ile ash juu inapelekwa mbali na upepo madhara sio makubwa kwa wakazi Wa pale,labda lile joto kali,kila baada ya miaka kumi na sita kama sijakosea hua oldonyo inalipuka.
Ahahaaa ukiwambia watu kuwa kili ni dormant watahama maeneo mkuu wanaamini iko Siku itatema baada ya miaka 100000,bora uwambie ni mfu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kili ni volcano mfu mkuu.
LOooo, wewe ni mtu makini kweli kweli.
Tarakimu zote hizi ulikuwa nazo mahala toka wakati huo?
Lavda ndo lango la kuzimu, maana majeshi tanakysanya damu ba kufanya uharibifu kila sikuDah! Hawa wenzetu DRC hasa Goma sijui ni lini watakaa watulie!
Ndiyo natural na man made disasters....Yaani Goma wana misuko suko jamani!
Endelea kulala kwa shemejiUpo kwenu CHATO unasingizia upo Gisenyi
Walokole vichwa vyenu vimejaa utumbo wa samaki.Du!! Kuzimu inapumua!!! Niwakumbushe kumwamini Yesu, Nyumbani kwetu ni mbinguni. Ukitaka kufikambinguni mwaminj Yesu awe Bwana na mwokozi wa maisha yako!! Ukitaka jehamamu ikuhusu wewe jifanye kana kwamba Mungu hakuhusu halafu ukifa unapokelewa kuzimu kama rumande kabla ya kutupwa jehamamu katika hukumu ya mwisho. Lakini Yesu anakupenda anataka akuokoe. Tubu dhambi zako na mkaribishe Yesu moyoni mwako awe Bwana na mwokozi wako sasa
Hakika mkuu,ni kama uncle magu afufuke Leo.Ni Pale mfu atakapofufuka ndipo cha moto tutakiona, kilimanjaro moto wake utatapakaa Africa nzima.🤣
Maskini wee!! Moto unatereza km uji lol
Ila jaman mmmh [emoji291] ni hatari wallah.Ahahaaa ukiwambia watu kuwa kili ni dormant watahama maeneo mkuu wanaamini iko Siku itatema baada ya miaka 100000,bora uwambie ni mfu.
Maskini wee!! Moto unatereza km uji lol