DRC to build an Electrified SGR from to connect Dar-Kigali SGR

DRC to build an Electrified SGR from to connect Dar-Kigali SGR

Kutakuwaje na biashara wakati usafiri haukuwepo?. Lazima kuwepo na mazingira bora ya kufanya biashara, usafiri wa uhakika ambao ni bei rahisi ni kichocheo kikubwa sana katika kukuza biashara, utaanza kuona wakulima wa Mahindi wa Sumbawanga wataanza kupeleka mahindi wenyewe upande wa Congo.
Mahindi yanapelekwa siku nyingi via kasanga,hiyo gati mpya ya kabwe ni kwa vile iliyopo ina kina kifupi ko upakiaji na ushushaji ni shida.I know those areas physically,nimekwambia hivi hakuna bidhaa zozote upande wa drc za kuingia Tzn zaidi ya Tzn na zambia kupeleka mahindi mchele na saruji sasa biashara itachangamka vipi tena ni kwa volume ndogo labda upande wa pili nako kuje kuchangamka
Biashara iko Lubumbashi na Goma
 
Furthermore distance from kigoma port to kalemie port in DRC over Lake Tanganyika is 126.6 km.This will just complicte matters.

Bro revisit your figure. The distance between DRC and Tanzania through the lake can not be such far.
 
Mahindi yanapelekwa siku nyingi via kasanga,hiyo gati mpya ya kabwe ni kwa vile iliyopo ina kina kifupi ko upakiaji na ushushaji ni shida.I know those areas physically,nimekwambia hivi hakuna bidhaa zozote upande wa drc za kuingia Tzn zaidi ya Tzn na zambia kupeleka mahindi mchele na saruji sasa biashara itachangamka vipi tena ni kwa volume ndogo labda upande wa pili nako kuje kuchangamka
Biashara iko Lubumbashi na Goma
Uganda wanauza bidhaa zenye thamani ya $345M kwa mwaka, wao wananunua bidhaa zenye thamani ya $2.4M kutoka DRC, Rwanda exports to DRC ni $450M, wao wananunua $1M toka DRC. Nani aliyesema lazima kotekote muuziane sawa?, tofautisha kati ya " Volume of trade" na "Balance of trade".

Leo hii biashara kati ya China na Africa imechangamka zaidi kuliko na nchi zingine zozote zile, lakini 95% ya biashara kati ya China na Afrika, ni China kuuza wala sio kununua. Kumbuka katika biashara, kuna nchi zinahitaji bidhaa kama chakula, wakishapata chakula, wao wanaendelea na shughuli za kuchimba Cobalt, ambayo soko lake ni nchi za nje, sio lazima wauze Tanzania kwasababu tu walinunua mahindi Tanzania.
 
Hivi lazima kila thread kuchomeka magu? Propaganda machinery ya "johnny do good"mnachosha.
 
Naagiza mara moja kitengo kilichomshawishi muzeveni kupitisha bomba na kufufua Port Bell kifanye lobbying haraka kwenye hii SGR to DRC hasahasa kumpa Tshekedi modes of financing ukizingatia utajiri DRC ulionao kupata mkopo wa kujenga SGR sio tatizo

Haya yote yanatakiwa yafanywe na lobbyists mashuhuri kutoka Tanzania wapige ushawishi wa kufa mtu na kuanzia leo wasikakuke kwenye viunga vya Palais de la Nation Kinshasa.
Watu hawajui historia ya hili bomba. Hakuna mtu aliyewashawishi hao jamaa hilo bomba kupitisha huju. Total wenyewe ndio waliona kuna advantage over kenya ndio wanapitisha huku
 
Bro revisit your figure. The distance between DRC and Tanzania through the lake can not be such far.
Wacha kutumia kichwa Kama balcony ya masikio bwana
Kutoka Bunjumbura hadi Mpulung ni around 500km, so from kelemi to kigoma kwa kutumia macho ni 100+ km. Wacha ubishi
Kama uliungia darasa la Geography, fanya that simple distance calculation. Shenzi kabisa 😏😏
image2017-11-16 15_39_44.png
 
Wacha kutumia kichwa Kama balcony ya masikio bwana
Kutoka Bunjumbura hadi Mpulung ni around 500km, so from kelemi to kigoma kwa kutumia macho ni 100+ km. Wacha ubishi
Kama uliungia darasa la Geography, fanya that simple distance calculation. Shenzi kabisa 😏😏
View attachment 1130365

Yaani kwenye jiografia mlifundishwa kupima umbali kwa macho.
Nowadays we have the GIS which gives everything that you need. Even the area of the lake.
 
Kipaombele cha Congo saizi ni amani hasa ukanda huo huo wa eastern ko kuwaza sgr kwa sasa ni ndoto
 
Back
Top Bottom