Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DRC imemuondoa barozi wake Nairobi baada ya kuituhumu Kenya kuhusika na kuwahifadhi waasi wa M23.
Ikumbukwe pia kabla ya Kuyafukuza majeshi ya Africa mashariki DRC wanajeshi wa kenya hawakuweza kupambana na M23 walivokua DRC hivo kuonekana kuna ushirikiano na waasi.
Jeshi la Africa mashariki halikuweza wala kutaka kupigana na M23 tofauti na majeshi ya SADC ambayo yaliumaliza mgogoro wa waasi mwaka 2013.
View attachment 2845543
Felix tulikuambia KDF hakuna kitu, jeshi gani Gen ,anakimbia vita , tulijua tu hawa nao walienda kula tu
Ajiondoe EAC ?DRC ajiondoe EAC maana seems wanayo solution ya kila janga walilonalo.
Kwa nini asipeleke jambo lake kwenye kikao cha wakuu wa nchi za EAC?
Waafrika tuna shida sana kwenye utaratibu
Kwan kuna ubaya.?Ajiondoe EAC ?
Kufupi haiwezi ,DRC iko EAC kimkakati ,anahitajika EAC na yy anahitaji EAC piaKwan kuna ubaya.?
TZ wametoa neno gani kuhusu hili suala , au haliwahusu?Kufupi haiwezi ,DRC iko EAC kimkakati ,anahitajika EAC na yy anahitaji EAC pia
Kuna yanayofanywa ila kutangazwa ni ngumuTZ wametoa neno gani kuhusu hili suala , au haliwahusu?
Sema huyu CdF wetu toka aingie mzigon ,haonekan onekan kama ilivyokua kwa akina Mabeyo..
Hapa tu ndipo inaletaga shida sana kumchokoza mtu ambae akifanya jema hujui akifanya baya hujui.. yan yupo kimyaaaaa kama hayupo vile..jw bwanaa 😂Kuna yanayofanywa ila kutangazwa ni ngumu
Mkuu JW wanajua kila kitu khs DRC, na miezi ya nyuma wamezuia mzigo mzito nadhani ndio imepelekea hii kukundulika kati ya kdf na m23, jw ni baba wa EACHapa tu ndipo inaletaga shida sana kumchokoza mtu ambae akifanya jema hujui akifanya baya hujui.. yan yupo kimyaaaaa kama hayupo vile..jw bwanaa 😂
EAC ina mantiki gani iwapo one member anaingilia mipaka ya mwingineAjiondoe EAC ?
Yule Memba ni chizi anatumika vby ,mbaya ni kwamba matajiri wake ndio matajiri wetu ndio maana uliona ,tulipokwenda kule aliwaka sana maana alijua kinachotokeaEAC ina mantiki gani iwapo one member anaingilia mipaka ya mwingine
Sema hawa jamaa mambo yao kimya kimya saanaaa😂Mkuu JW wanajua kila kitu khs DRC, na miezi ya nyuma wamezuia mzigo mzito nadhani ndio imepelekea hii kukundulika kati ya kdf na m23, jw ni baba wa EAC
Mkuu JW wanajua kila kitu khs DRC, na miezi ya nyuma wamezuia mzigo mzito nadhani ndio imepelekea hii kukundulika kati ya kdf na m23, jw ni baba wa EAC
jamaa kashinda uchaguzi,,, awapelekee moto sasa Rwanda