Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
- Thread starter
- #41
EAC ina mantiki gani iwapo one member anaingilia mipaka ya mwingine
Ni kweli mkuu haina maana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
EAC ina mantiki gani iwapo one member anaingilia mipaka ya mwingine
Kwani hawa watu wote si EAC ama
Rwanda na Kenya ni vibaraka wa mabepali
Rutto is appointed one by God, cannot do such a thing.DRC imemuondoa barozi wake Nairobi baada ya kuituhumu Kenya kuhusika na kuwahifadhi waasi wa M23.
Ikumbukwe pia kabla ya Kuyafukuza majeshi ya Africa mashariki DRC wanajeshi wa kenya hawakuweza kupambana na M23 walivokua DRC hivo kuonekana kuna ushirikiano na waasi.
Jeshi la Africa mashariki halikuweza wala kutaka kupigana na M23 tofauti na majeshi ya SADC ambayo yaliumaliza mgogoro wa waasi mwaka 2013.
View attachment 2845543