DRC yafunga ubalozi Kenya kwa kuituhumu kushirikiana na M23

DRC yafunga ubalozi Kenya kwa kuituhumu kushirikiana na M23

DRC imemuondoa barozi wake Nairobi baada ya kuituhumu Kenya kuhusika na kuwahifadhi waasi wa M23.

Ikumbukwe pia kabla ya Kuyafukuza majeshi ya Africa mashariki DRC wanajeshi wa kenya hawakuweza kupambana na M23 walivokua DRC hivo kuonekana kuna ushirikiano na waasi.

Jeshi la Africa mashariki halikuweza wala kutaka kupigana na M23 tofauti na majeshi ya SADC ambayo yaliumaliza mgogoro wa waasi mwaka 2013.
View attachment 2845543
Rutto is appointed one by God, cannot do such a thing.
 
Back
Top Bottom