Dread locks zinavyofanya wadada wazeeke sura

Dread locks zinavyofanya wadada wazeeke sura

Habarini wakuu,

Nimewakumbuka,

Kwanza nafaurahi kurudi JF baada ya muda,

Twende kwenye mada tajwa hapo juu, ni ukweli kwamba dread locks ni nywele nzuri hasa kwa wanaojua kuzitunza na zinawapendeza.

Lakini dread locks sio kila mtu zinampendeza zinachagua uzuri wa sura, yani kuna wadada wako kama vikongwe kisa tu dread locks, sura zimewakomaa.

Ni vizuri kujijua kuwa unapendeza na aina gani ya nywele, kwenda na wakati huku wanashindwa kuangalia sura zao, hiihupelekea kupoteza muonekano.

Mwisho dread locks ni nywele nzuri ila sio kila mtu zinampendeza
Tuwekee picha tuone

Ila nahisi zinawauma Atari Mana Kuna demu wangu siku moja nilimpa hela akaenda kusuka usiku tumelala akamka akaanza zikuna nakuuliza Veep akasema zinauma akazimwagia maji lkn wapi baadae akaanza Lia akasema nimfumue daa nilizikatakata vibaya mno na likisu Ila iliniumq balaa Mana hela ya kusikia me ndo nilikuwa nmempa
 
🙇🏻‍♀️ jamen me hz ndo nywele zangu tangu mtoto mpk umri huu, lkn nzpenda naschukiz 😊
 
Habarini wakuu,

Nimewakumbuka,

Kwanza nafaurahi kurudi JF baada ya muda,

Twende kwenye mada tajwa hapo juu, ni ukweli kwamba dread locks ni nywele nzuri hasa kwa wanaojua kuzitunza na zinawapendeza.

Lakini dread locks sio kila mtu zinampendeza zinachagua uzuri wa sura, yani kuna wadada wako kama vikongwe kisa tu dread locks, sura zimewakomaa.

Ni vizuri kujijua kuwa unapendeza na aina gani ya nywele, kwenda na wakati huku wanashindwa kuangalia sura zao, hiihupelekea kupoteza muonekano.

Mwisho dread locks ni nywele nzuri ila sio kila mtu zinampendeza
Nilishamwambiaga mtu hii kitu akakataa. Linganisha mtu ananyoa nywele fupi uso wake na mwenye Rasta. Utaona tofauti
 
We karembo


Hahahah jaman, tatzo n misuko wanayochagua ndyo inayowaangusha. Dread n kama nguo kuna znazowapendeza wanene na pia znazowapendeza wembamba, ukijulia kichwa yako na sura na m'bano unaoendana na kichwa na sura katu dread hazmchukiz mtu.

S tu dread hata kunyoa s kila mtu akinyoa anapendeza, wengne wanachekesha na kufurahisha lkn wamegoma kupewa ushaur. Vivyo hivyo na kusuka, lkn ukishajua kichwa yako yapasa isukweje ama inyolewaje kamwe hautakuwa kichekesho kwa jamii inayokuzunguka.

Ahsnte muheshmiwa mbunge 😉😊
 
Ni nzuri,huwa naona zinampendeza kila mtu

Tatizo lake ni zinaumaaaaaaaa,nilishasuka mara moja nikadumu nazo kama siku tano tu
Sijui wale wanaokaa nazo miezi na miezi wanawezaje kuvumilia yale maumivu
Maumivu hayadumu Mae
 
Ila mleta mada unabifu na natural hair!nimeona Kuna Uzi unasifia lacewigi!wigi Ni utumwa wa kifikra,niliacha kuvaa wifi miaka 6 iliyopita,nilikuwa mdau Sana wa kuvaa wifi Ila Kuna Siku niliaibika,nilizinduka nikajiuliza maswali sijavaa mpaka leo.
 
Hahahah jaman, tatzo n misuko wanayochagua ndyo inayowaangusha. Dread n kama nguo kuna znazowapendeza wanene na pia znazowapendeza wembamba, ukijulia kichwa yako na sura na m'bano unaoendana na kichwa na sura katu dread hazmchukiz mtu.

S tu dread hata kunyoa s kila mtu akinyoa anapendeza, wengne wanachekesha na kufurahisha lkn wamegoma kupewa ushaur. Vivyo hivyo na kusuka, lkn ukishajua kichwa yako yapasa isukweje ama inyolewaje kamwe hautakuwa kichekesho kwa jamii inayokuzunguka.

Ahsnte muheshmiwa mbunge [emoji6][emoji4]

Umeonga vzr sana mkuu! Watu wengi wanashindwa kuelewa kwamba sio kila style utakayobana utapendeza na sio kila style hutapendeza. Kwanza stylist wako lazma ajue una kichwa cha aina gani na hicho kichwa kinafaa style zipi... kuna style mtu analazimisha kubana lkn kulingana na kichwa chake hatapendeza na unamshauri lkn anakua mbishi ndo hao mnasema hawapendezi. Lkn pia budget yako inaweza kuchangia usipendeze, unajikuta una sh 60,000 na unataka kuunga dreadlocks unadhani utaambulia nn? ... hakikisha kabla hujasuka fanya uchunguzi juu ya hiyo salon hasa kwenye page yao ya instagram na uulize watu waliowahi kusukwa hapo kama waliumia au vp na sio mnajumuisha tu kwamba zinauma. Swala la kuumiza nakataa kabisa inategemeana na mkono wa mtu alivozoea sio kila msusi atakuumiza!

Nimekua kwenye hii fani kwa miaka mitatu sasa sijawai pata malalamiko ya mteja kumsuka akaumia, na kama yupo humu naomba ajitokeze...
Kama kuna mtu kawahi kuja @MWANZADREADLOCKS (instagram) akasukwa akaumia naomba ajitokeze, hebu acheni kutuharibia biashara [emoji23][emoji23][emoji23]... lazima tutetee ugali
 
Back
Top Bottom