Haki Madhubuti
Senior Member
- Feb 26, 2014
- 183
- 165
Dreadlocks zinavutia sana huwa nasema ki moyo moyo siku niki jiajiri ntafuga. Alafu ukute huyo mtu anajua kucheza muzik wa reggae inna di dancehall yaani nakuwa napata furaha ya ajabu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe tuonnyeshe zako kidogo basi.Asee ndefu sana hadi raha
Hehehehehe kama hajui unamfunza tu. Pon de riddimDreadlocks zinavutia sana huwa nasema ki moyo moyo siku niki jiajiri ntafuga. Alafu ukute huyo mtu anajua kucheza muzik wa reggae inna di dancehall yaani nakuwa napata furaha ya ajabu.
Yea wazo zuri. Nadhani ntaanza na lovers rock kumfundisha!!!Hehehehehe kama hajui unamfunza tu. Pon de riddim
Itakuwa poa saaaanaYea wazo zuri. Nadhani ntaanza na lovers rock kumfundisha!!!
Hahaha daddy mtu chake
Mmh mbona kunitamanisha teh. Nimenyoa nina kama miezi 15 now. Ni rough dreads na braids tu. Hata hizo braids nalazimisha tu, maana sio kwa kuniwasha ndani tu ya week. So huwa nasuka braids, napunguza Naweka rough dreads hivyo hivyo. Ngoja nione kama ntawiwa, maybe ntakujoin. weaves, Mawigi, kuweka dawa kumeshanishinda, basi tu hugu gubichwa kama panzi teh, nahisi ningenyoa para kabisaaa
Hivi nywele za singa zinakubali dread..!
Napenda dreadlocks ila ndo sijui nianzie wapi nina nywele ndefu Sana lakini zina dawa.
Ha ha ha mweh!!!
Hongera, ile mwanzoni unaweza ahirisha kwakweliHata nimeanza nina mwaka,kwa kweli nazipenda mpaka ila mwanzo mgumu na most of the nilikuwa rasta mpaka sasa zimekuwa nabana mwenyewe
Teh Jani inasaidia kufanya nywele ile nzuri ha ha ha lolJe ni kweli kuwa hawa wanaosuka huu mtindo ni watu wa CULTURE [ wavuta jani] ?
Zangu hizo hapoNa wewe tuonnyeshe zako kidogo basi.
Kumbe mwanao havai wig, nkajua lile wig lisilofata direction ulikua unamsema yeye
Sio kwa ushamba huu hata braids sijui ni nywele gani lolBraids nilishasoma mahala kabla ya kuzisukia uzisuuze na apple cider vinegar. Kuna kemikali ya kiwandani inasababisha kuwasha
Hiyo hapana. Loh...