King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,855
- 24,925
J.lee una dreadz afu una mba? mi najua mba ni dry scalp. Osha nywele na shampoo ya sulphur 8, repair na dreadz moulding gel halafu utumie spray yake kama unaona nywele zinakauka. Mie naosha nywele kila wiki na kurepair tu. Situmii mafuta mengine
Mi nasikiaga ile tube ya virgin inaondoa mba
Sina uhakika lakini, King'asti msaada hapa