Dream League Soccer Special Thread

Umekandwa tena ?
 
Dakika hizo mechi haijaisha ilikuwa zirudi zote na ufungwe.

NimeQuit wapi leta ushahidi ? mimi sina historia ya kuQuit hata nifungwe vipi maana najua ni mchezo.

Hapo si network imekuokoa na Comeback kosa langu lipo wapi ?
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wakati anakandwa anazama ghetto hakujua atakandwa Hadi asahau pichu
 
Dakika hizo mechi haijaisha ilikuwa zirudi zote na ufungwe.

NimeQuit wapi leta ushahidi ? mimi sina historia ya kuQuit hata nifungwe vipi maana najua ni mchezo.

Hapo si network imekuokoa na Comeback kosa langu lipo wapi ?View attachment 2707828
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Uzi mekuwa mchungu huu kwa adriz


Singasinga nakusaka kwa udi na uvumba, nina jambo langu na wew

Nataka nimalizane na wew first half tu, kipind cha pili nicheze mpira

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Dakika hizo mechi haijaisha ilikuwa zirudi zote na ufungwe.

NimeQuit wapi leta ushahidi ? mimi sina historia ya kuQuit hata nifungwe vipi maana najua ni mchezo.

Hapo si network imekuokoa na Comeback kosa langu lipo wapi ?View attachment 2707828
Uliniita sana bwana adriz, ukatukana sana na kumaliza maneno yote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Aibu naona mimi

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Dakika hizo mechi haijaisha ilikuwa zirudi zote na ufungwe.

NimeQuit wapi leta ushahidi ? mimi sina historia ya kuQuit hata nifungwe vipi maana najua ni mchezo.

Hapo si network imekuokoa na Comeback kosa langu lipo wapi ?View attachment 2707828
Nakutafuta wewe mtot siku ukiyakanyaga tena I swear utakuja kuhadisia humu naomba tu uje useme ukwerii mwenyew kabla cjaongea mimi
 
Dakika hizo mechi haijaisha ilikuwa zirudi zote na ufungwe.

NimeQuit wapi leta ushahidi ? mimi sina historia ya kuQuit hata nifungwe vipi maana najua ni mchezo.

Hapo si network imekuokoa na Comeback kosa langu lipo wapi ?View attachment 2707828
Dk 56 ushapigw goal 4 mzee umeogop aibu uka quit [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yanii wewe ndo una level ya kucheza mimi lakinii bado uwezo wako mdogo ukiingia siku ukiingia kwenye mfumo wangu utajuta kunifahamu I swear pia maua yng uc sahawu kunipa πŸ«…
Aisee!

Hilo la kuingia ktk mfumo itabid wew ndo ujiangalie vizuri

Nina plan ya kukuchalanga gol za aibu hadi ukimbie uzi huu

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…