Mbn hii ni sign ya kuzima dataDakika hizo mechi haijaisha ilikuwa zirudi zote na ufungwe.
NimeQuit wapi leta ushahidi ? mimi sina historia ya kuQuit hata nifungwe vipi maana najua ni mchezo.
Hapo si network imekuokoa na Comeback kosa langu lipo wapi ?View attachment 2707828
Cheka cheka 2 ila usiombe ukutane na mimiii kuanzia now π« [emoji3406][emoji23][emoji23]
Unajiwezaa pimaa mzikiiiπ«Kwa Misingi ipi
Upo vzr tuguseCheka cheka 2 ila usiombe ukutane na mimiii kuanzia now π« [emoji3406]
We tu Unaweza leta codeUnajiwezaa pimaa mzikiiiπ«
6486Utak kutoa code
Searching6486
Na ulete matokeo mwenyeweHemedy rashidy vp umeingia mitini
PoahNa ulete matokeo mwenyewe
Mtandao kaka halafu mimi match zangu ni 3 cy 2Hemedy rashidy tumemalizana nae Who is Next ? [emoji23][emoji23] Maana nataka nipige wote humu
Yan hapo nimekufunga natumia Airtel huku kwetu ni tatzo sn nahis umeona hata mech ya Kwanza nilikuwa na simama simamaAmenifung match 2 ila kwangu mtandao haukuwa poa sana ulikuwa una rag sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Uwezo wako hata nikikupa Siku nzima tucheze uwezi kunifunga Bro
Wait mtandao uwe sawa ntakupa doz yako kijana nimecheza chini ya kiwango nilitak nijuwe 2 mbinu zako ni zipii wait network ikae saw mtot akililia wembe mpe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa Uwezo wako hata nikikupa Siku nzima tucheze uwezi kunifunga Bro
Acha uong wew una play game vizur hakun hata tatz la mtandaoYan hapo nimekufunga natumia Airtel huku kwetu ni tatzo sn nahis umeona hata mech ya Kwanza nilikuwa na simama simama
πππ Ss hapo Mbn ujanijua lkn kiufupi tu Mi kwny DLS natawala sehem zote za uwanja iwe Kushoto iwe Kulia iwe Katikat iwe Goalin kwako au kwng pote nipo vzr ss sijui umejua Mbinu ganiWait mtandao uwe sawa ntakupa doz yako kijana nimecheza chini ya kiwango nilitak nijuwe 2 mbinu zako ni zipii wait network ikae saw mtot akililia wembe mpe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app