[emoji23]nenden uwanjanHunielew bwana mdog huniweziii ki rank wala kweny pitch manen mengiii vitendo 0
Nakubali mkuuKwa wadau niliowahi kucheza nao humu huyu jamaa MrJobless ni balaa kubwa nimependa Sana staili yake ya uchezaji.. Hana butua butua anapiga pasi kama Brazil ya kina Garincha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mtu mwingine m-bad ni Eng ibird . Lakini pia Fene ni mkali Ila staili yake ya kucheza ni ovyo kabisa ni kama atletico Madrid [emoji3526]
Hao ni Kwa wale niliocheza nao
[emoji23]Kaka ningekuomba ucheze na adriz naamini na wew utafarijika maana utajibutulia unavyotaka[emoji23][emoji23]
Nakuibia siri, huyo jamaa kwasasa ndie kiande humu
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Upo free now?Ukija tena weka saa na dakika tukiwashe ,nataka huu uzi uuone mchungu.
Mm sijasema neno baya lkn kaka [emoji856]kwann uniambie uwe mchunguUkija tena weka saa na dakika tukiwashe ,nataka huu uzi uuone mchungu.
10:15Ukija tena weka saa na dakika tukiwashe ,nataka huu uzi uuone mchungu.
Nipo weka code10:15
Unajileta kwenye mdomo wa Mamba...Mm sijasema neno baya lkn kaka [emoji856]kwann uniambie uwe mchungu
adzUnajileta kwenye mdomo wa Mamba...
adzNipo weka code
Poa chap
SearchPoa chap
Nasubir results hapaPoa chap
Oya vp turuke[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bhs we utajua Game ? Ukiweza kutoa Acknowledgement Kwa wengine ni Rahis kufika Mbal.Kwa wadau niliowahi kucheza nao humu huyu jamaa MrJobless ni balaa kubwa nimependa Sana staili yake ya uchezaji.. Hana butua butua anapiga pasi kama Brazil ya kina Garincha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mtu mwingine m-bad ni Eng ibird . Lakini pia Fene ni mkali Ila staili yake ya kucheza ni ovyo kabisa ni kama atletico Madrid [emoji3526]
Hao ni Kwa wale niliocheza nao