Dream League Soccer Special Thread

Dream League Soccer Special Thread

Kwa wadau niliowahi kucheza nao humu huyu jamaa MrJobless ni balaa kubwa nimependa Sana staili yake ya uchezaji.. Hana butua butua anapiga pasi kama Brazil ya kina Garincha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mtu mwingine m-bad ni Eng ibird . Lakini pia Fene ni mkali Ila staili yake ya kucheza ni ovyo kabisa ni kama atletico Madrid [emoji3526]

Hao ni Kwa wale niliocheza nao
Nakubali mkuu
 
Kwa wadau niliowahi kucheza nao humu huyu jamaa MrJobless ni balaa kubwa nimependa Sana staili yake ya uchezaji.. Hana butua butua anapiga pasi kama Brazil ya kina Garincha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mtu mwingine m-bad ni Eng ibird . Lakini pia Fene ni mkali Ila staili yake ya kucheza ni ovyo kabisa ni kama atletico Madrid [emoji3526]

Hao ni Kwa wale niliocheza nao
Bhs we utajua Game ? Ukiweza kutoa Acknowledgement Kwa wengine ni Rahis kufika Mbal.
 
Back
Top Bottom