Leo ndy napitia Hz text toka Juz nilikuwa Maeneo Jana ndy nimegeuka so Leo tupo availableMkuu kunywa soda popote ulipo ,humu sio pa kutunziana siriweka risiti humu ili mtu akikataa iwe kumbukumbu..
Sasa Fene how dare you to call yourself a Master while you are being humiliated so disgracefully by foreigner like this ?
Nimeumizwa sana kuona umepata aibu kama hii kufungwa mechi 4 vipigo vya aibu ,lakini Master wako nakuja kulipa kisasi kama nikichofanya kwa Singasinga ambaye haujawahi kumfunga sasa huyu MrJobless inatakiwa atambua ameingia kwenye 18 za Nyambisi ngoja ajilete nimuadabishe..
[emoji23][emoji23][emoji23]kakimbiaNasubir results hapa
Najua utakuwa umekandwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Twende tena net ilizingua[emoji23][emoji23][emoji23]kakimbia
Kaka twende tena?Poa chap
Same codeTwende tena net ilizingua
Search njooTwende tena net ilizingua
Poa chapSame code
😂😂😂 Huyu nanMbona unekimbia mapema ?View attachment 2711704
Upo
Upo?
Unajua lknNan yupo mimfunge online
Dk 3 tu namtoa mgen BroUpo?
Sawa umenifunga 4-1 lakini mbona umekimbia mechi moja tu bila kutoa nafasi ya kujitetea na mimi ? mimi kawaida yangu huwa nafungwa mechi ya kwanza coz natumia kusoma mbinu za mpinzani haitokeagi nishinde baada ya hapo ni ni vichapo tu.Kaka twende tena?
Lete codeSawa umenifunga 4-1 lakini mbona umekimbia mechi moja tu bila kutoa nafasi ya kujitetea na mimi ? mimi kawaida yangu huwa nafungwa mechi ya kwanza coz natumia kusoma mbinu za mpinzani haitokeagi nishinde baada ya hapo ni ni vichapo tu.
Ati nini[emoji23][emoji23][emoji23]Sawa umenifunga 4-1 lakini mbona umekimbia mechi moja tu bila kutoa nafasi ya kujitetea na mimi ? mimi kawaida yangu huwa nafungwa mechi ya kwanza coz natumia kusoma mbinu za mpinzani haitokeagi nishinde baada ya hapo ni ni vichapo tu.
5050ALete code