Tucheze saa ngap?Lkn bado tu Berrardi kwang lzm afunge au atoe assist ni nadra sn kutokuonekana
Kuanzia saa 4 uck hv au hata Jion km sina Mambo Meng
Poa, night itakuwa bombaKuanzia saa 4 uck hv au hata Jion km sina Mambo Meng
Saw fanya mazoez kabsa
Mwenyew tuMwendo wa 7View attachment 2711886View attachment 2711887
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Oi njoo unipe skills maana nadhalilishwa huko mtandaoni [emoji1787]Unacheza
Mwenyew tu
Kauli utaijutia sana hii kwa utakachokutana nacho leo[emoji35][emoji35]Saw fanya mazoez kabsa
Huo moto nitakuja nao mtaomba moderators wanipe Bann nisije humu.Taarifa kwa umma
adriz atapumzika kwa siku mbili kucheza dream league hivyo asingependa kugusiwa kuhusu dream league mpaka maumivu yapoe
Source; pm
Nb/mkiwa mnatoa vichapo toeni kwa kiasi
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Huo mchezo siwezi kuchulia siriaz namna hiyo halafu mimi ni Master humu na DLS kwa ujumla hivyo siwezi kuomba ombi kama hilo ila nakuahidi na tunza risiti hii kwamba ukiona nimerudi sina stori zaidi ya vichapo tu.Sas c angesema km akifungwa anaumia[emoji23][emoji23]tungepunguza idad ya magol
Hao ni walevi usilete humu screenshots za kuwafunga walevi ni matusi makubwa .Omba mechi na mabingwa usikimbie.Mwendo wa 7View attachment 2711886View attachment 2711887
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Hauna uwezo huo labda Mimi na singasinga ukimfunga huyo jamaa kwa kumzidi baada ya kumaliza mechi nitakupa saluti.Kauli utaijutia sana hii kwa utakachokutana nacho leo[emoji35][emoji35]
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Punguza Pressure araf toa Fikra za Kikos kdg piga Ball utashinda tuOi njoo unipe skills maana nadhalilishwa huko mtandaoni [emoji1787]
Usikamie maana kwangu Mi ni Shule ya Mpira Mzr mixer Burudani kunako DLS usifanye na Mi nikacheza Kwa kukuwaza utaumia sn we Cheza na adrizKauli utaijutia sana hii kwa utakachokutana nacho leo[emoji35][emoji35]
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Ebu Kdg ili Jina la Master nisingependa kila mtu alitumie humu ndani km Mi nipo au Eng ibird yupo ni kutoa taswira mbaya Kwa wageni wakiamin nyie mnaojiita mnajua kumbe Kelele kibao tu lkn kumfunga mtu huwezHuo mchezo siwezi kuchulia siriaz namna hiyo halafu mimi ni Master humu na DLS kwa ujumla hivyo siwezi kuomba ombi kama hilo ila nakuahidi na tunza risiti hii kwamba ukiona nimerudi sina stori zaidi ya vichapo tu.
Hawezi huyu nilicheza nae Labda acheze uhuni uhuni tu lkn Akae akitambua Yey hata akinifunga Game bado kwng hatakuwa mdg tu. Si Kuona Mpira wowote ambao Unaweza nishangazaHauna uwezo huo labda Mimi na singasinga ukimfunga huyo jamaa kwa kumzidi baada ya kumaliza mechi nitakupa saluti.
Ushindi wa siku moja hauwezi kumbuka mtu cheo chake ,huoni Argentina siku ya kwanza kombe la Dunia alifungwa na Saudi Arabia akadhihakiwa na kuchekwa mwishoni yeye akawa bingwa.Ebu Kdg ili Jina la Master nisingependa kila mtu alitumie humu ndani km Mi nipo au Eng ibird yupo ni kutoa taswira mbaya Kwa wageni wakiamin nyie mnaojiita mnajua kumbe Kelele kibao tu lkn kumfunga mtu huwez
Hata nikikufunga nitakuwa mdogo tu!!?Hawezi huyu nilicheza nae Labda acheze uhuni uhuni tu lkn Akae akitambua Yey hata akinifunga Game bado kwng hatakuwa mdg tu. Si Kuona Mpira wowote ambao Unaweza nishangaza