Dream League Soccer Special Thread

Hiii DLS huwez kui hack aisee... Cheza match nyingi sana ukipata Hela au madini Nunua wachezaji uza kwa ajili ya Kuwa coach Ili wawe strong
 
We Game uwez Bhn
 
Mbn Mi na Yellow Cards na napambana na hawa Vibonde wa Humu
 
Mambo yalikuwa Mengi Leo lkn nipende kusema Kesho nitakuwa Available muda wote mwenyew kutaka Friends Matches namkatibisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…