Wakipekee
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 6,194
- 10,711
Mkuu timu yako ni Bayern?Kuna kubustiwa na kutrainiwa kaka, hvo vtu vya tofauti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu timu yako ni Bayern?Kuna kubustiwa na kutrainiwa kaka, hvo vtu vya tofauti
Hiii DLS huwez kui hack aisee... Cheza match nyingi sana ukipata Hela au madini Nunua wachezaji uza kwa ajili ya Kuwa coach Ili wawe strongVijana punguzenii ku hack una cheza na jitu wachezajii wote wamejaa coin kama zote anawa jaza sio ujanja huo tumia uwezo wako binafsii ndo maana najiita King of dls nna maan yangu wengii humu ma hack kwa hii post mnajijuwa[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]
Jana nilikuwa nimechoka sn ss ndy naweza wapa mudaLeo usiku nitakuwepo, kama utakuwa na wasaa itapendeza tukipute
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
We Game uwez BhnVijana punguzenii ku hack una cheza na jitu wachezajii wote wamejaa coin kama zote anawa jaza sio ujanja huo tumia uwezo wako binafsii ndo maana najiita King of dls nna maan yangu wengii humu ma hack kwa hii post mnajijuwa[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]
Mbn Mi na Yellow Cards na napambana na hawa Vibonde wa Humu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu unaikumbuka post yako wiki iliyopita??? Mi nililalamikia Hilo swala ukapinga ukasema mchezaji hodari haogopi kitu ni kucheza Tu ???
Ukweli mchungu ni kua huwezi shindana na timu iliyobustiwa utapigwa nyingi Sana... Otherwise ukutane na kibonde au wewe uwe na uwezo mkubwa yaani "exceptional" hivi hivi lazima ujute...
Naona yamekukutaaaa kuta kuta
Umeshafanya mazoezMaster nimerudi ,nasemaje mtanyooka kuanzia sasa..
Oi baada ya nusu saa ntakucheki tupasheMbn Mi na Yellow Cards na napambana na hawa Vibonde wa Humu
Friendly match na yyte, wekeni mda chin apo
22:45Friendly match na yyte, wekeni mda chin apo
MmmmmmmmmmhOi baada ya nusu saa ntakucheki tupashe
Endelea kujifungia KibondeHii picha imepigwa leo msiseme ya muda Fene kayakanyaga amekuwa na adabu sasa. Kipigo cha mwanaukome 😂😂😂View attachment 2715842
View attachment 2715843
Daah nlilala mapema bhnTwende saivii
Upo tupashe ?Sn sio kdg
Code only 2 gamesWa kupasha Aje