CodeCode only 2 games
Nimepata emergency mara moja.17BT
Mwanao Miyeyusho sn kila muda ana Quit
Unaquit sn Una unachoambuliaNimepata emergency mara moja.
Njoo tukiputeHiyo Moja kakimbia dk ya 45View attachment 2716234View attachment 2716235
Code
Searching
Sorry mazingira magumu now, nafos tu ntakuchek baadaeSearching
Poah ujipange lknSorry mazingira magumu now, nafos tu ntakuchek baadae
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Ah! WapPoah ujipange lkn
Hv we umeona Goal lako Mi nacheza na nyiny huku nachart na Mrembo Uwezo mdg snAh! Wap
Ulishapotea game ile, na usichojua goli lako uliloshinda nilikuwa sichez
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Huna uwezo mkubwa wew unajiproud tu,Hv we umeona Goal lako Mi nacheza na nyiny huku nachart na Mrembo Uwezo mdg sn
We hata nikupe Siku Kijana uniwezi Bhn na hapo unateseka nipo na Yellow Cards ss nikiwa na Black si ndy Kabsa utoniwezaHuna uwezo mkubwa wew unajiproud tu,
We ni weak sana, kuna watu wanapiga hil game had mtu hutak kucheza nae
We umeniotea siku moja tu ndo imekuwa tiketi ya majigambo, tuwek game mezani za ushind then utaongea
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Mechi uliyoshinda moja goli goli la penati la mchongo na kipa kukupa mpira ndio yaliyokufanya ushinde ,mechi ya kwanza niliQuit sababu ulicheza mchezo mchafu kumvunja beki langu dk za mwanzo mapema ya pili nilipata dharura ikawa kucheza ngumu.Unaquit sn Una unachoambulia
KakaHuna uwezo mkubwa wew unajiproud tu,
We ni weak sana, kuna watu wanapiga hil game had mtu hutak kucheza nae
We umeniotea siku moja tu ndo imekuwa tiketi ya majigambo, tuwek game mezani za ushind then utaongea
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Mechi uliyoshinda moja goli goli la penati la mchongo na kipa kukupa mpira ndio yaliyokufanya ushinde ,mechi ya kwanza niliQuit sababu ulicheza mchezo mchafu kumvunja beki langu dk za mwanzo mapema ya pili nilipata dharura ikawa kucheza ngumu.
Wewe hamna kitu kama hauniogopi baadae tucheze haupati hata ushindi.