Dream League Soccer Special Thread

Dream League Soccer Special Thread

Hiyo Moja kakimbia dk ya 45
Screenshot_2023-08-13-14-22-03-10_7f24feae7b5e1c4a7a37a4a710799f37.jpg
Screenshot_2023-08-13-14-28-20-48_7f24feae7b5e1c4a7a37a4a710799f37.jpg
 
Hv we umeona Goal lako Mi nacheza na nyiny huku nachart na Mrembo Uwezo mdg sn
Huna uwezo mkubwa wew unajiproud tu,

We ni weak sana, kuna watu wanapiga hil game had mtu hutak kucheza nae

We umeniotea siku moja tu ndo imekuwa tiketi ya majigambo, tuwek game mezani za ushind then utaongea

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Huna uwezo mkubwa wew unajiproud tu,

We ni weak sana, kuna watu wanapiga hil game had mtu hutak kucheza nae

We umeniotea siku moja tu ndo imekuwa tiketi ya majigambo, tuwek game mezani za ushind then utaongea

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
We hata nikupe Siku Kijana uniwezi Bhn na hapo unateseka nipo na Yellow Cards ss nikiwa na Black si ndy Kabsa utoniweza
 
Unaquit sn Una unachoambulia
Mechi uliyoshinda moja goli goli la penati la mchongo na kipa kukupa mpira ndio yaliyokufanya ushinde ,mechi ya kwanza niliQuit sababu ulicheza mchezo mchafu kumvunja beki langu dk za mwanzo mapema ya pili nilipata dharura ikawa kucheza ngumu.

Wewe hamna kitu kama hauniogopi baadae tucheze haupati hata ushindi.
 
Mechi uliyoshinda moja goli goli la penati la mchongo na kipa kukupa mpira ndio yaliyokufanya ushinde ,mechi ya kwanza niliQuit sababu ulicheza mchezo mchafu kumvunja beki langu dk za mwanzo mapema ya pili nilipata dharura ikawa kucheza ngumu.

Wewe hamna kitu kama hauniogopi baadae tucheze haupati hata ushindi.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom