Dream League Soccer Special Thread

Dream League Soccer Special Thread

And the Only issue which you are supposed to understand 3 4 1 2 this is Defensive Mind Game alot of players staying in the back side it's not easy to Pass through them [emoji23][emoji23] Niliona unajua kushambulia sn ikabid nifanye hivyo
 
And the Only issue which you are supposed to understand 3 4 1 2 this is Defensive Mind Game alot of players staying in the back side it's not easy to Pass through them [emoji23][emoji23] Niliona unajua kushambulia sn ikabid nifanye hivyo
Nliona kaka maana nlkua nakutana na beki saba hvi
 
Nliona kaka maana nlkua nakutana na beki saba hvi
[emoji848][emoji848][emoji848] Kuna Mfumo wa kucheza na Beki nying Lkn bado ulitoka 4 4 2 ukaenda 5 3 2 huu kdg ulikusaidia kupunguza Kasi ya Mi kukushambulia
 
Kuna jamaa alikuwa anajitamba,
Hana hamu sasa, na haoneshi dalili ya kutaka mechi, nimemkanda mara 2,
Haweki mpira chini ye anapga long ball,

Kila akichomoa namuweka [emoji1787],

Kuna mwingine ana magame ya mpira mengi kwa simu yake, anajiona mwamba,

Nimemkanda haamini, kwa sasa namuona yuko bize kujifua,
 
Panapo maajiwa tupashe muda huo

Mechi 5 tuone nani bingwa Fene sasa amekula kona huu uzi kwake ni mchungu sasa maana jana kama mauaji basi yalikuwa ya kimbali..
Usiwaze Kakah lkn nakupa onyo maana ss hv Mfumo naotumia ni Popote tupo
 
Back
Top Bottom