Wakipekee
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 6,194
- 10,711
Tecno au infinix [emoji24][emoji24][emoji24][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi hili game ni week ya 2 sasa ina stuck balaa...sijajua tatizo ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tecno au infinix [emoji24][emoji24][emoji24][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi hili game ni week ya 2 sasa ina stuck balaa...sijajua tatizo ni nini?
Dah n9elekeze mkuu,Hakuna hack lkn Unaweza kununua kikosi ukipenda sema iwe Kwa Trusted & Honest Person. Maana kuna kuipgwa Hela na Kikos usipewe.
Naweza kuwa nimeanza kabla yako mkuu...maana mimi nilianza 2015......nikapiga 2016,2017,2018,2019 nikapumzika 2020,2021,nikarudi tena 2022 na 2023 kidogo sio kwa moto ule,kikubwa mimi ni mdau wa online match na sio hizi offline coz nawapiga hadi goli 16 so hazina mzuka kwangu na sijihisi kuwa na changamoto yoyote....sasa hii ya 2023 kila nikiingia online na vijamaa vyangu vyenye 45,58 na 52 nakutana na wamba wenye 100 wanaburuza hasa.....ndio maana nikaja na hoja hiyo.....8yrs katika kilinge......Umeanza kucheza DLS Mwaka huu nn
Km Una Pesa Mfuko wa sharti njoo nikuuzie KikosiNaweza kuwa nimeanza kabla yako mkuu...maana mimi nilianza 2015......nikapiga 2016,2017,2018,2019 nikapumzika 2020,2021,nikarudi tena 2022 na 2023 kidogo sio kwa moto ule,kikubwa mimi ni mdau wa online match na sio hizi offline coz nawapiga hadi goli 16 so hazina mzuka kwangu na sijihisi kuwa na changamoto yoyote....sasa hii ya 2023 kila nikiingia online na vijamaa vyangu vyenye 45,58 na 52 nakutana na wamba wenye 100 wanaburuza hasa.....ndio maana nikaja na hoja hiyo.....8yrs katika kilinge......
Kikosi na ProfileNaweza kuwa nimeanza kabla yako mkuu...maana mimi nilianza 2015......nikapiga 2016,2017,2018,2019 nikapumzika 2020,2021,nikarudi tena 2022 na 2023 kidogo sio kwa moto ule,kikubwa mimi ni mdau wa online match na sio hizi offline coz nawapiga hadi goli 16 so hazina mzuka kwangu na sijihisi kuwa na changamoto yoyote....sasa hii ya 2023 kila nikiingia online na vijamaa vyangu vyenye 45,58 na 52 nakutana na wamba wenye 100 wanaburuza hasa.....ndio maana nikaja na hoja hiyo.....8yrs katika kilinge......
Oya vp Wakipekee?Tecno au infinix [emoji24][emoji24][emoji24][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mr Jobless nikumbushe jina lako la watsap nikutag turukeKikosi na Profile View attachment 2782970View attachment 2782971
Sent from my CPH2363 using JamiiForums mobile app
Kakah YaooohMr Jobless nikumbushe jina lako la watsap nikutag turuke
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Mpk baadae Kdg ndy nitakuwa Free kucheza
Poa, utanipanglia basMpk baadae Kdg ndy nitakuwa Free kucheza
We unatumia user Gani
Mtupe mrejesho na matokeo msiwe mnaogopana.
Clan of mathemaciansKakah Yaoooh
Soon nitarudi InshaAllah ndani ya mwezi wa 11 ,nina mzuka wa kutoa dozi humu maana naona toka muondoke watu wameanza kuota vitambi mpaka viande wanakuja kuomba mechi wakati enzi zangu wakikuta screenshots za vipigo ninavyotoa wanakula kona.Sasa Mi nitacheza na Nani Humu Maskini ya Mungu
Acha dharauSasa Mi nitacheza na Nani Humu Maskini ya Mungu