MrJobless
JF-Expert Member
- Jan 20, 2023
- 1,091
- 1,342
Master wa Vibonde saw ukiona bado nipo kwny huu Uzi kdg Acha kutumia Majina ya Master.The true King, The true Master of the thread
Nina mpango wa kuongea na mmiliki wa jf liwekwe sanamu langu ktk hii thread
Nimewa-rise vijana wengi humu leo ati nao wana sauti wakiongozwa na adriz
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app