Dream League Soccer Special Thread

Dream League Soccer Special Thread

The true King, The true Master of the thread

Nina mpango wa kuongea na mmiliki wa jf liwekwe sanamu langu ktk hii thread
Nimewa-rise vijana wengi humu leo ati nao wana sauti wakiongozwa na adriz

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Master wa Vibonde saw ukiona bado nipo kwny huu Uzi kdg Acha kutumia Majina ya Master.
 
Mara ya mwisho kabla ya Kuuza simu yangu yenye uwezo mzuri ,nilimkanda Fene siku mbili mfulilizo mpaka akaSurrender mwenyewe na haleti ubishi akibisha makaburi yapo humu.

Kuhusu unalodai ningependa ueleze kwa kina maana Master sina rekodi mbovu kama hiyo.
Kwa Pamoja ebu kubalini kunipa heshima yng ili niwe na huruma na nyinyi lkn Kwa haya majigambo ya hovyo nitakuja kuwa vunja hovyo
 
Kwa hiyo unamaanisha mpaka kwa Johex na kwenye magroup yote ya wasap haoni competition ya kweli ? siwezi kuamini kuwa umefikia kiwango hicho labda kwa humu sawa.
Kuna Baadhi ya Grp sipend kucheza Kwa 7b ya utaratibu wao wa hovyo mtu unamtafuta mpk unachoka
 
Sasa ujawai kufika Tier 1 unajiita vp Master huon km unatumia wadhifa wa watu vby
Tatizo kikosi cha ushindani nimekipata juzijuzi mwanzo nilikuwa unatembea na kikosi dhaifu ndio maana sikuwahi kufika huko .
 
Tatizo kikosi cha ushindani nimekipata juzijuzi mwanzo nilikuwa unatembea na kikosi dhaifu ndio maana sikuwahi kufika huko .
Hapo ss ndy Ujue Uwezo wako ni mdg. Piah hata kimbinu ni mdg Kifup ukiwa na Kikos kdg Fanya vice versa km utakuta na mtu anaepiga mipira mirefu weka Forward km CB itakusaidia maana wao ni Quick Response & Fast kuliko Back mwenyewe.
 
Hapo ss ndy Ujue Uwezo wako ni mdg. Piah hata kimbinu ni mdg Kifup ukiwa na Kikos kdg Fanya vice versa km utakuta na mtu anaepiga mipira mirefu weka Forward km CB itakusaidia maana wao ni Quick Response & Fast kuliko Back mwenyewe.
Nimependa hii
 
Ebu tupe mautundu yakufka huko
Style of Playing , Mbinu ndg ndg km vile upigaji wa Kona , selection of formation, Najuhudi zako za kujifunza ili Game (Hapa unatakiwa kujifunza madhaifu ya Formation za mpinzani) kuwa akija na formation hii nitumie formation gan au nicheze Kwa style gani mbn Tier 1 ni Chap tu hata wakikushusha ni chap kurudi
 
Natamani nije nipige nyuklia ya vichapo humu ,siipendi nikute zimejaa chattings bila screenshots za vichapo..

Tokea Master nipumzike humu sioni vichapo vikiendelea mpaka napata hasira ......
 
Natamani nije nipige nyuklia ya vichapo humu ,siipendi nikute zimejaa chattings bila screenshots za vichapo..

Tokea Master nipumzike humu sioni vichapo vikiendelea mpaka napata hasira ......
Sasa utamfunga Nani? [emoji2][emoji1787]
 
Natamani nije nipige nyuklia ya vichapo humu ,siipendi nikute zimejaa chattings bila screenshots za vichapo..

Tokea Master nipumzike humu sioni vichapo vikiendelea mpaka napata hasira ......
Sasa Mi nitacheza na Nani Humu Maskini ya Mungu
 
Mimi hili game ni week ya 2 sasa ina stuck balaa...sijajua tatizo ni nini?
 
Back
Top Bottom