Sawa ,tafuta siku nyingine ambayo nikikufunga hautakuwa na sababu kisha tucheze vizuri ..Yan we Leo Net imekuokoa sn? Umakin tu umekosa
Ni lzm ningefika tu ss maana Baadae nitakuwa naongea na Simu nisingeweza kukuacha Kwa kucheza Game 1 Binafsi sio saw. Na Mi piah sio muhumin wa Game 1.Sawa ,tafuta siku nyingine ambayo nikikufunga hautakuwa na sababu kisha tucheze vizuri ..
Net kama haiko vizuri ilikuwa haina haja ya kufika gemu Nne ,ungefanya kama Mimi siku ile kipindi cha kwanza Tu kilivyoisha nikaghairisha kucheza siku yenyewe kwa sababu ungenifunga ningesema net.
Sawaa mkuu
Mechi uliyonipiga tano ,nilikusoma mfumo wako unategemea sana kati kati ,mimi nikajaza viungo kati kisha nikawa nacheza very offensively kuhakikisha mido zako hawapigi pasi za mwisho na kufika miguuni kwa haraka kunyan'ganya boli ,hapo mpira ukawa rahisi sana kwangu.Kiukweli huyu adriz kutoa hizo LLLLL na kuweka W 2 ni km kaweka Bifu kuanzia Sasa huyu Nitakuwa napiga Goals 5 per MatchView attachment 2815962
Next mechi plan yangu nikupige gemu 4 mfululizo usishinde hata moja hilo usisahau na usiseme haukuambiwa na kuonywa..
Upo free tukapashe mkuuNext mechi plan yangu nikupige gemu 4 mfululizo usishinde hata moja hilo usisahau na usiseme haukuambiwa na kuonywa..
Mimi Mzee mbinu ,sasa Fene nakutafutia dawa ya Casemiro maana ndio anavuruga mipango yangu mipira yote inaishia kwake na kublock hatari kabla ya kufika karibu ya 18.Mechi uliyonipiga tano ,nilikusoma mfumo wako unategemea sana kati kati ,mimi nikajaza viungo kati kisha nikawa nacheza very offensively kuhakikisha mido zako hawapigi pasi za mwisho na kufika miguuni kwa haraka kunyan'ganya boli ,hapo mpira ukawa rahisi sana kwangu.View attachment 2815979
Mwanangu Mi nacheza na Mifumo 3 so uwa nabadilikaa sn kutoka na Uchezaj wako unavyokuja. Same net ilikuwa tatzo tu lkn. Bado hiyo 3 5 2 magap ni Meng na kuna Style yake ya kuishambulia. Tabu nipo Ifakara kumamamake ya Voda haishiki Tigo tia tia Maji ni Halotel ndy inajitahid hata H+ inaweza kuchezea Game.Mechi uliyonipiga tano ,nilikusoma mfumo wako unategemea sana kati kati ,mimi nikajaza viungo kati kisha nikawa nacheza very offensively kuhakikisha mido zako hawapigi pasi za mwisho na kufika miguuni kwa haraka kunyan'ganya boli ,hapo mpira ukawa rahisi sana kwangu.View attachment 2815979
Upo Live na We ushindeSawaa mkuu
Siku nyingine nitakuja humu ndani
Nitoka mkuu baada ya kukosa MtuUpo Live na We ushinde
Jion ya Leo km utakuwa na muda tutaona Hali ipo vp?Nitoka mkuu baada ya kukosa Mtu
Sawaa nikipata muda nitakujaJion ya Leo km utakuwa na muda tutaona Hali ipo vp?
Kuanzia 11 na Nusu hiv ndy nitakuwa AvailableSawaa nikipata muda nitakuja